Mh L. Lusinde maana yake Rais alitudanganya?

Mh L. Lusinde maana yake Rais alitudanganya?

jzm-teak

JF-Expert Member
Joined
Jun 23, 2013
Posts
1,757
Reaction score
323
Akionyesha kumtetea Rais aliyemaliza muda wake na kauli yake "MAISHA BORA KWA KILA MTANZANIA" kuwa Watanzania hawakumuelewa, huwezi kukaa unasubiria kupata maisha bora bila kufanya kazi.

Hivyo ni Muhimu kutekeleza kauli ya Rais Magufuli ya "HAPA KAZI TU", Kimsingi maisha bora hayawezi kuja bila kufanya kazi, lakini kama kiongozi mkuu wa nchi na "SLOGAN" yake alikuwa na maana ambayo Serikali yake ingeweza kubadirisha maisha ya Watanzania.

Sasa Mh Lusinde kama watu hawajawa na maisha bora, watu hawakumuelewa kweli? kama walimwelewa aliwadanganya?
 
Kaka, huyu jamaa asikuumize kichwa, anafile pale hospitalini.
 
Loh nimepoteza muda wangu bure, kumbe ni huyo jamaa unamwongelea
 
Hapa kazi tu kwa Lussinde tafsiri yake itakuwa kuleta misamiati mipya ya matusi na mipasho bungeni.
 
CCM ile ile.Watu wale wale...Wanafik walewale...Mchana wako naye ni walewale..usiku hawako naye ni wale wale
 
Loh nimepoteza muda wangu bure, kumbe ni huyo jamaa unamwongelea
hapana mkuu, wala usiseme hivyo!, maana huyo jamaa ni kama kiongozi, anaongoza pia watu wasomi kwenye jimbo lake. hapa akisema watu hawakumwelewa rais, anatakiwa atudhibitishie alikuwa na maana gani? at least ya Magufuli inaeleweka!
 
Kama wewe maisha yako hayajabadilika basi pole na endelea kusubiri rais atakayekuletea maendeleo nyumbani kwako.
 
Kama wewe maisha yako hayajabadilika basi pole na endelea kusubiri rais atakayekuletea maendeleo nyumbani kwako.
inawezekana wewe ni mmojawapo wa manufaa ya BIG RESULTS NOW!
 
hapana mkuu, wala usiseme hivyo!, maana huyo jamaa ni kama kiongozi, anaongoza pia watu wasomi kwenye jimbo lake. hapa akisema watu hawakumwelewa rais, anatakiwa atudhibitishie alikuwa na maana gani? at least ya Magufuli inaeleweka!

Sidhani kama atakuwa anaongoza wasomi, sema anaongoza jimbo lililotoa wasomi sasa hivi hawapo jimboni kwake
 
Kama wewe maisha yako hayajabadilika basi pole na endelea kusubiri rais atakayekuletea maendeleo nyumbani kwako.

Kauli ya Rais Ilikuwa kwa kila mtz. Swala ni kuwa haikutelezwa, sio busara kupamba ahadi ambazo mlitumia kuhadaa watz.
 
Kauli ya Rais Ilikuwa kwa kila mtz. Swala ni kuwa haikutelezwa, sio busara kupamba ahadi ambazo mlitumia kuhadaa watz.

Kwa hiyo wewe ulitaka maisha gani zaidi ya haya kama ulibweteka na sera kwamba yatakuja tu bila ya kuyafuatilia endelea kuona watu wa baya sisi tuliokaelewa sera tulifuatilia fursa na sasa ni wanufaika wa sera za JK nina uwezo wa kulisha familia zaid ya tatu za wavivu kama nyinyi na kidumi chama cha mapinduzi.
 
Sidhani kama atakuwa anaongoza wasomi, sema anaongoza jimbo lililotoa wasomi sasa hivi hawapo jimboni kwake
wasomi watakuwepo. kwani hata shule za kata hakuna? sasa anaongoza nini? hauna hospitali? hakuna kiwanda hata kimoja? si ni jimbo la Mtela, lazima kuna wasomi!
 
Kwa hiyo wewe ulitaka maisha gani zaidi ya haya kama ulibweteka na sera kwamba yatakuja tu bila ya kuyafuatilia endelea kuona watu wa baya sisi tuliokaelewa sera tulifuatilia fursa na sasa ni wanufaika wa sera za JK nina uwezo wa kulisha familia zaid ya tatu za wavivu kama nyinyi na kidumi chama cha mapinduzi.

Kilichotakiwa ni kile alichoahidi kwa watz. Mengine ni yako binafsi.
 
Kwa hiyo wewe ulitaka maisha gani zaidi ya haya kama ulibweteka na sera kwamba yatakuja tu bila ya kuyafuatilia endelea kuona watu wa baya sisi tuliokaelewa sera tulifuatilia fursa na sasa ni wanufaika wa sera za JK nina uwezo wa kulisha familia zaid ya tatu za wavivu kama nyinyi na kidumi chama cha mapinduzi.
ulinufaika kwa sera hizi ambazo JPM anajaribu kufuta uozo uliokuwepo? kama ni mazuri si angeendeleza badala ya kuyafuta? inawezekana wewe ndo ulikuwa unazifyatua mashine MRI na CT Scan, kaka hizo ni hela haramu, zirudishe, maana wagonjwa wengi wamekufa kwa ajili yako!
 
Back
Top Bottom