Anaendelea kusema toka karume kafa zanzibar haijachangia chochote katika muungano sio maneno yangu ni maneno ya gavana beno ndullu,hata hili bunge la katiba znz haijachangia chochote watanganyika hawataendelea kuwatibu wazanzibar na wake zao kwa kodi ya nkasi,ati rais wa znz awe makamo kachaguliwa na nani?