Mh.Kapuya amsifu Mh.Membe!

Mh.Kapuya amsifu Mh.Membe!

Charlton

Member
Joined
Jan 31, 2014
Posts
6
Reaction score
3
Mbunge wa Urambo Magharibi Mh.Kapuya amsifu Mbunge wa Mtama Mh.Membe kwa kupingana na matumizi ya pesa katika kutafuta uongozi.Mh.Kapuya aliyasema maneno hayo baada ya kauli ya Mh.Membe aliyoitoa jana alipotoka kuhojiwa na Kamati ya Maadili ya Ccm.Alisema,namnukuu,"Mh.Membe kaongea vizuri.Hatuwezi kugawa uongozi kwa mtu anayeamini katika rushwa.Urais sio sawa na njugu inayoweza kununuliwa hata dukani.Namuunga mkono Mh.Membe".Kauli hii ya Mh.Kapuya imekuja baada ya masaa machache nyuma Mzee Msindai tangu atoe kauli ya kumjenga Mh.Membe kisiasa kuelekea 2015.Nasi tusubiri aoteshwe.
 
Ila kutumia hela kubaka na kuambukiza ukimwi minor ndo sawa..!? laana ile.
 
Charlton, unajitahidi kweli...lakini ni wengi wamesema hayo akiwemo Sitta na Sumaye.
 
Duh! Yaani eti hata Kapuya naye anasema..... ati kuwa na yeye naye ana maono🙂 Tanzania nchi yangu naipenda lakini naionea huruma!
 
Back
Top Bottom