Wendo Kiwere
New Member
- Sep 26, 2018
- 1
- 1
Zile Work permits ambazo si za lazima kwa wageni, bado zinatengenezwa mtaani, hasa kinondoni na Sinza. Maofisa wa uhamiaji mkishirikiana na wale wa idara ya Kazi na vishoka wenu,inaonekana mnachezea ndevu za Bwana Mkubwa. Tutawaumbua na hao Wakenya, Wakongoman na Wanaigeria wenu. Hawaitajiki kwa kazi hizi wapo wa TZ wa kutosha kuzifanya. Tutamwagika baadae