Mh. John Mnyika amewasilisha udhaifu wa mchakato wa mabadiliko ya Katiba kwa katibu wa bunge

Mnyika alisema akichaguliwa mwezi mmoja ataleta maji ubungo asikwepe hoja zake na kuanza kudandia yasiyo mhusu maji kwanza ubungo hatutaki porojo.

Watanzania tuna matatizo sana .................... sasa Mnyika amekuwa ni Waziri wa maji mpaka atupiwe lawama. Kama serikali inakwamisha ideas zake unategemea nini!!? Better think first before you write rubbish!!
 
Nikweli mkuu maji ni muhimu sana Ubungo!!!!! Hivi Mnyika ni Waziri wa maji au ni Mkurugenzi wa DAWASCO? Huwa nachanganya sana mkuu naomba unifafanulie

Kwani pesa za mfuko wa jimbo anapewa akanunulie suruali na mashati? au jitihada zake binafsi hata kwa kushawishi wahisi zilizuiliwa.Usijibu kishabiki wakati wananchi wanaumia kenge wewe.
 
hoja ya mnyika ni nzuri japo maamuzi ya bunge letu hayafanyiki kwa maslahi ya kitaifa bali ni ya siasa tu,
 
mnashindwa kuwalaumu walioshindwa kusambasa maji kwa nusu karne mnamlaumu asiyekuweme serkalini kweli mnatisha! wepeni serkali nao tuwaone.
 
Mbunge wa jimbo la Ubungo Mh John Mnyika amewasilisha kwa katibu wa bunge taarifa ya hoja binafsi kuhusu kile alichodai kuwa ni udhaifu wa mchakato wa mabadiliko ya katiba ili bunge lijadili udhaifu wa ukiukwaji wa sheria katika mchakato huo ili lipitishe azimio la kuahirisha mchakato huo mpaka madhaifu ya msingi yatakaposhughulikiwa.


Akizungumzana ITV katika ofisi za bunge Mh Mnyika pia amemtaka rais wa jamhuri ya muungano wa Tanzania kuheshimu makubaliano ya viongozi wa vyama vya siasa kwa kuwa kuendelea na mchakato huo si tu kukiuka makubaliano ya TCD bali pia ni kukiuka sheria zilizouanzisha mchakato huo.


Chanzo: ITV
Kama kuna sheria inayo-support hoja yake, angekwenda mahakamani. Bungeni itaamuliwa kishabiki kwa kutumia wingi wa maccm.
 
Back
Top Bottom