Naleta kwenu ilituweze kujadili kwa pamoja, Mh. Mwenyekiti wa tume ya taifa ya uchaguzi NEC ameyatoa ya moyoni akikosoa mfumo mzima wa tume ya taifa ya uchaguzi yaani NEC, nina maswali mengi ya kumuuliza je?
…Hakunaliona hili kabla ya uchaguzi mkuu uliopita?
…Atawezaje kuleta mabadiliko ya mfumo bila kuwa na tume huru?
…Kwanini hajagusia mabadiliko ya katiba?
…Hakunaliona hili kabla ya uchaguzi mkuu uliopita?
…Atawezaje kuleta mabadiliko ya mfumo bila kuwa na tume huru?
…Kwanini hajagusia mabadiliko ya katiba?