Lastname
JF-Expert Member
- Feb 23, 2012
- 921
- 297
Kwa sasa nakuita mzee umekuwa my "role model" watakaokutukana najua sababu zao kufanya hivyo. Ukweli haujawahi kushindwa na hila kamwe. Mungu akujalie na akupe moyo wa ujasiri, moyo wa uoga ukae mbali nawe..>...>
Nimesikitika Komba alivym attack Warioba, ebu ona maneno ya komba hapa chini.
Ni muasi kama adamu alivyomuasi Mungu, katuasi watanzania,
Nazungumzia Warioba and company (yaani tume ya katiba)
Amekurupuka na kufanya kazi ambayo hakutumwa muasi mkubwa huyu.
Nimesikitika Komba alivym attack Warioba, ebu ona maneno ya komba hapa chini.
Ni muasi kama adamu alivyomuasi Mungu, katuasi watanzania,
Nazungumzia Warioba and company (yaani tume ya katiba)
Amekurupuka na kufanya kazi ambayo hakutumwa muasi mkubwa huyu.