Mh. Jaji Joseph Sinde Warioba

Mh. Jaji Joseph Sinde Warioba

Lastname

JF-Expert Member
Joined
Feb 23, 2012
Posts
921
Reaction score
297
Kwa sasa nakuita mzee umekuwa my "role model" watakaokutukana najua sababu zao kufanya hivyo. Ukweli haujawahi kushindwa na hila kamwe. Mungu akujalie na akupe moyo wa ujasiri, moyo wa uoga ukae mbali nawe..>...>

Nimesikitika Komba alivym attack Warioba, ebu ona maneno ya komba hapa chini.

Ni muasi kama adamu alivyomuasi Mungu, katuasi watanzania,
Nazungumzia Warioba and company (yaani tume ya katiba)
Amekurupuka na kufanya kazi ambayo hakutumwa muasi mkubwa huyu.
 
Alitaka warioba afanye kazi aliyotumwa na nani? Magamba? Hapo alipoweka neno ccm bora angeweka neno ccm, ccm imewasaliti watanzania warioba kawakilisha watanzania bila woga, warioba atabaki kwenye historia ya mashujaa wazalendo wa nchi hii.
 
Eti John Komba, mwalimu wa UPE na mbadilishaji wa nyimbo zinazoimbwa kwenye misiba kule Songea, anahoji 'credibility' ya Judge, X-PM, X-Makamu wa Rais, Joseph Sinde Warioba...!

Ajabu.....
 
Kwa sasa nakuita mzee umekuwa my "role model" watakaokutukana najua sababu zao kufanya hivyo. Ukweli haujawahi kushindwa na hila kamwe. Mungu akujalie na akupe moyo wa ujasiri, moyo wa uoga ukae mbali nawe..>...>

Nimesikitika Komba alivym attack Warioba, ebu ona maneno ya komba hapa chini.

Ni muasi kama adamu alivyomuasi Mungu, katuasi watanzania,
Nazungumzia Warioba and company (yaani tume ya katiba)
Amekurupuka na kufanya kazi ambayo hakutumwa muasi mkubwa huyu.

Na alivyokuwa anatukana na kutoa kashfa Mwenyekiti wa Bunge hili la Katiba alikuwa anasikiliza na kutingisha kichwa na wenziwe wakipiga makofi,swali la kuwauliza hivi Rasimu hii kuna mahali kwenye hizo sura ya I-VI ambazo lazima ziwekwe matusi,mipasho,vijembe,dharau na kejeli?

I wish nimuone Mwenyekiti wa Bunge hili nimuulize kama kuna sura gani inabidi waweke hayo yanayotokea Bungeni leo.
 
Kadhihirisha ule wasiwasi wa mh mkuu wa nchi aliokuwa nao kuhusu serikali tatu kuwa zinaweza kusababisha jeshi kufanya maasi na kupindua nchi. Yeye kautangazia umma wa Watz kupitia bmk kwamba rasimu ya katiba iki kubaliwa na kupitishwa na wananchi kama ilivyo anaingia msituni. Ikumbukwe huyu ni capt wa jwtz.
 
Mwaka huu tutasikia mengi ya ajabu na hapo ndipo tutakapojua jinsi ya kuchagua viongozi safi mwakani.
 
Eti John Komba, mwalimu wa UPE na mbadilishaji wa nyimbo zinazoimbwa kwenye misiba kule Songea, anahoji 'credibility' ya Judge, X-PM, X-Makamu wa Rais, Joseph Sinde Warioba...!

Ajabu.....

Angeongea Lissu; ungesikia watu mapovu ambavyo yangewatoka.... Maneno kama "ametukana wazee na viongozi wakongwe wa nchi hii"... Kwa hiyo Warioba anastahili kukosolewa na wana-CCM kwa matusi na dharau but wengine wakikosolewa na upinzani kwa facts wametukanwa ama..??
 
Eti John Komba, mwalimu wa UPE na mbadilishaji wa nyimbo zinazoimbwa kwenye misiba kule Songea, anahoji 'credibility' ya Judge, X-PM, X-Makamu wa Rais, Joseph Sinde Warioba...!

Ajabu.....

Komba ni Captain wa kuimba! unprofessional, un educated, hungry politician who thinks for stomach...If I were you, would stop writing about him and start producing...

Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
 
Kwa sasa nakuita mzee umekuwa my "role model" watakaokutukana najua sababu zao kufanya hivyo. Ukweli haujawahi kushindwa na hila kamwe. Mungu akujalie na akupe moyo wa ujasiri, moyo wa uoga ukae mbali nawe..>...>

Nimesikitika Komba alivym attack Warioba, ebu ona maneno ya komba hapa chini.

Ni muasi kama adamu alivyomuasi Mungu, katuasi watanzania,
Nazungumzia Warioba and company (yaani tume ya katiba)
Amekurupuka na kufanya kazi ambayo hakutumwa muasi mkubwa huyu.
Anatafuta spdi ya kutunga shairi huyo
 
hawa jamaa lazma wametumwa kumzalilisha mzee wa watu.wangempinga kwa hoja tu na si namna iyo
 
Kumtukana warioba ni ruksa, lakini kumtukana nyerere ni dhambi! Hii nchi ya wanafiki!
 
Hivi hao wakina komba and co's wanajua kwamba hiyo tume walikuepo wakina mzee butiku , salim ahmed salim, prof kabud, al maamry, jaja agustino ramadhan, prof baregu , polepole na think tank wengi wa taifa hili, ukitukana tume yenye watu kama hawa tanzania ... Inabidi upimwe akili..ccm wakiweka misimamo kwenye vikao vyao wawekeana na break za kuongea la sivyo wanoonekana kam vilaza waliopanic na kuchanganyikiwa
 
Mchakato wa Katiba na Bunge Maalum la Katiba limetuonyesha Watanzania ni aina gani ya wanaojiita Viongozi wetu walivyo. Kabla ya mchakato huu, sote tuliamini kuwa tuna viongozi ambao wanawajali wananchi na ni wazalendo. Sasa Watanzania tunashuhudia viongozi wetu walivyo kama mbwa mwitu aliyejivika ngozi ya kondoo kwa matendo na kauli zao Bungeni na Makanisani!
 
Hivi hao wakina komba and co's wanajua kwamba hiyo tume walikuepo wakina mzee butiku , salim ahmed salim, prof kabud, al maamry, jaja agustino ramadhan, prof baregu , polepole na think tank wengi wa taifa hili, ukitukana tume yenye watu kama hawa tanzania ... Inabidi upimwe akili..ccm wakiweka misimamo kwenye vikao vyao wawekeana na break za kuongea la sivyo wanoonekana kam vilaza waliopanic na kuchanganyikiwa

You're right!! Big mind; wasitukane, wajadili kwa uungwana hoja yao, wakijua waamuzi wa katiba hiyo tupo si wao.
 
Hivi hao wakina komba and co's wanajua kwamba hiyo tume walikuepo wakina mzee butiku , salim ahmed salim, prof kabud, al maamry, jaja agustino ramadhan, prof baregu , polepole na think tank wengi wa taifa hili, ukitukana tume yenye watu kama hawa tanzania ... Inabidi upimwe akili..ccm wakiweka misimamo kwenye vikao vyao wawekeana na break za kuongea la sivyo wanoonekana kam vilaza waliopanic na kuchanganyikiwa

Nakubaliana na wewe , ndo utaona mtu kama Hawa Ghasia (aka Kubwa Jinga Halina Adabu) lilivyotapika juzi! Likiongoza makubwa jinga mengine - hovyooo !
 
Nakubaliana na wewe , ndo utaona mtu kama Hawa Ghasia (aka Kubwa Jinga Halina Adabu) lilivyotapika juzi! Likiongoza makubwa jinga mengine - hovyooo !
Kweli mkuu.. Kama hawa ghasia anaweza kufika hata robo ya kazi aliyoifanya mzee warioba kweli..? Mtu kama yule anataka asifiwe tu kwenye vikao vya chama kwamba nae ameongea lakini ukiangalia hamna kitu
 
Hata mimi nawashangaa sana baadhi ya wabunge kumtukana warioba, mtu aliyefanya kazi ya kusimamia mani ya wananchi. Leo hii wanalaumu Nyerere kudhihakiwa na wakati huo huo wanamtukana warioba mwenye utumishi uliotukuka ambao hata akina komba (mbunge wangu), Hawa ghasia, ole sendeka hawana halafu Leo wanajiona wao ni safi na bora kuliko warioba. Wengine wanashindwa hata Kuwa na aibu, hata chama chao kimewaita mizigo, sasa wanapata wapi huo ujasiri?
Sikubaliani na wabunge wanaokuja bungeni na kudai eti wapiga kura wao wamewaambia ni serikali mbili, huo uwongo mweupe, je waliitisha kura za maoni kwenye majimbo Yao na wananchi wakachagua serikali mbili? Waache porojo, wajadili Katiba.
Lakini mshangao wangu mkubwa ni kwa mhe. Rais ambaye pia ni mwenyekiti wa ccm, kuacha wanachama wakongwe wa ccm watukanwe hivi hivi tena na Watu wa ccm, kiukweli nimeshangaa na nitazidi kushangaa.
Tuache demokrasia itawale, kama VIPi iitishwe kura ya maoni kuchagua muundo wa serikali.
 
Kweli mkuu.. Kama hawa ghasia anaweza kufika hata robo ya kazi aliyoifanya mzee warioba kweli..? Mtu kama yule anataka asifiwe tu kwenye vikao vya chama kwamba nae ameongea lakini ukiangalia hamna kitu
Hii nchi yetu hii sijui ni nani aliyetuloga kiasi kwamba nzuri tunaona mbaya na mbaya tunaona nzuri. Mtu akitoa mipasho huyo ndiye anaeonekana wa maana jamani tutafika kweli . Cha ajabu hawa hawa mwakani watapita kuomba kura na kushinda kwa vishindo. Ama kweli the beautiful one is not yet born.
 
Hii nchi yetu hii sijui ni nani aliyetuloga kiasi kwamba nzuri tunaona mbaya na mbaya tunaona nzuri. Mtu akitoa mipasho huyo ndiye anaeonekana wa maana jamani tutafika kweli . Cha ajabu hawa hawa mwakani watapita kuomba kura na kushinda kwa vishindo. Ama kweli the beautiful one is not yet born.
Inasikitisha na kushangaza..tumekua na mihemko ya kisisa na ushabiki usiokua na tija..hamna mtu anakaa chini tena anasoma vitu kwa undani , hamna mtu anakaa tena anatafakari mambo kwa undani, ni kukurupuka tu.. Na wale watu wenye uwezo mdogo kwenye mambo ndo wapo mbele..unadhani tutafika kweli..!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom