Idofu
Senior Member
- Oct 24, 2022
- 110
- 187
Kwanza kabla ya yote naomba nikupongeze kwa Kazi kubwa unayopambana nayo!! Keep it Up!!
Pili naomba nikupe uzoefu kidogo niliokutana nao katika zoezi la urasimishaji wa ardhi katika Mkoa wa Dar es Salaam na mkoani!! Katika Ile klinic ya ardhi kwa Dar es Salaam hatimaye nilipata hati bila ya usumbufu wowote!!
Kwa Mkoani, bado nilikumbana na changamoto ya Umungu mtu wa baadhi ya watendaji wa idara ya ardhi kwa kukaa na fomu kwa muda mrefu bila ya kuzipeleka kwa Kamishna wa Ardhi ili hati ipatikane, na wanakuambia kabisa mpaka utoe fedha ili fomu zipelekwe!!
Nyaraka zote ziko sawa, na zimeshasainiwa na wakili, gharama zote zimeshalipiwa, hizo fomu kutoka katika Ofisi ya Mkurugenzi kwenda kwa Kamishna wa Ardhi ni miezi mitatu sasa hazijapelekwa, na hizo ofisi zote ziko ndani ya Km 5 tu!! Mpaka dispatch naye anataka alipwe ndio azipeleke hizo fomu!! Kwa mtindo huo malengo yenu ya kurasimisha ardhi yatafikiwa kweli?
Pili naomba nikupe uzoefu kidogo niliokutana nao katika zoezi la urasimishaji wa ardhi katika Mkoa wa Dar es Salaam na mkoani!! Katika Ile klinic ya ardhi kwa Dar es Salaam hatimaye nilipata hati bila ya usumbufu wowote!!
Kwa Mkoani, bado nilikumbana na changamoto ya Umungu mtu wa baadhi ya watendaji wa idara ya ardhi kwa kukaa na fomu kwa muda mrefu bila ya kuzipeleka kwa Kamishna wa Ardhi ili hati ipatikane, na wanakuambia kabisa mpaka utoe fedha ili fomu zipelekwe!!
Nyaraka zote ziko sawa, na zimeshasainiwa na wakili, gharama zote zimeshalipiwa, hizo fomu kutoka katika Ofisi ya Mkurugenzi kwenda kwa Kamishna wa Ardhi ni miezi mitatu sasa hazijapelekwa, na hizo ofisi zote ziko ndani ya Km 5 tu!! Mpaka dispatch naye anataka alipwe ndio azipeleke hizo fomu!! Kwa mtindo huo malengo yenu ya kurasimisha ardhi yatafikiwa kweli?