Mwenye kujua habari kuhusu community loan atujuze tusije kutapeliwa maana naona inapostiwa na wall ya Halima Mdee mara kwa mara akitusii tujiunge ili kujikomboa na mikopo yenye riba nafuu na maswali tunayouliza hatujibu he kweli ni Halima Mdee ndo ana post au ni mtu anatumia jina lake Mhe. HALIMA MDEE TUWEKE WAZI NI WEWE NDO UNAPOST na inawezekanaje mkopaji ndo alipe VAT ya mkopo? Na maelezo ya VAT hayapo mpaka mtu atume akiba yake ndo anaambiwa atume na VAT tuondoeni wasiwasi wenye taarifa