Sitachoka
JF-Expert Member
- Nov 17, 2011
- 3,030
- 1,303
Freeman Aikaeli Mbowe
Kichama na wapenda haki wote
Tanzania tunayo masikitiko, uzuni
na majonzi ya kuondokewa na
mwanachama wetu/ kiongozi
wetu Mwenyekiti wa Usa river bw.
MBWAMBO aliyeuwawa kinyama
huko mkoani Arusha, tuombe
Mungu ailaze roho ya marehemu
mahali pema, pia natoa salamu
zangu za rambirambi kwa familia
na ndugu wa marehemu kuwa
tuko pamoja nao katika kipindi
hiki kigumu.
Naomba pia nichukue nafasi hii
kuishukuru Mahakama kuu kanda
ya sumbawanga kwa kutenda
haki, baada ya kutengua ubunge
wa aliyekuwa mbunge wa Ccm
bw. Aeshi Hilali jimbo la
Sumbawanga mjini kutokana na
kugubwikwa na ukiukwaji wa
sheria za uchaguzi.
Kichama na wapenda haki wote
Tanzania tunayo masikitiko, uzuni
na majonzi ya kuondokewa na
mwanachama wetu/ kiongozi
wetu Mwenyekiti wa Usa river bw.
MBWAMBO aliyeuwawa kinyama
huko mkoani Arusha, tuombe
Mungu ailaze roho ya marehemu
mahali pema, pia natoa salamu
zangu za rambirambi kwa familia
na ndugu wa marehemu kuwa
tuko pamoja nao katika kipindi
hiki kigumu.
Naomba pia nichukue nafasi hii
kuishukuru Mahakama kuu kanda
ya sumbawanga kwa kutenda
haki, baada ya kutengua ubunge
wa aliyekuwa mbunge wa Ccm
bw. Aeshi Hilali jimbo la
Sumbawanga mjini kutokana na
kugubwikwa na ukiukwaji wa
sheria za uchaguzi.