Mh. Elibarick Kingu - DC Igunga

mambomoto

JF-Expert Member
Joined
May 10, 2011
Posts
326
Reaction score
236
Huyu ni DC na kada wa CCM ambaye pia katabia ka ufisadi amekuwa nacho tangu akiwa chuoni pale mzumbe nakumbuka alivyokula pesa za serikali ya wanafunzi (MUSO) akiwa kama Vice President. Jamaa huyu ni hatari sana kwenye issue ya pesa. Kuwa kada wa CCM naona yupo uwanja wa nyumbani kabisa.

 
Aliiba malipo ya fidia ya vijiji ambapo nguzo za grid ya umeme ya taifa inapita
 
Mkuu kwenye issue ya Fidia ya Tanesco kwa wananchi wa Igunga hawezi vuka kihunzi,tayari watumishi wa halmashauri wameanza kusimamishwa,Mpima ardhi pamoja na cashier,Bw.Kingu ndo alikuwa mwenyekiti wa kamati
 
kuna tetesi kwamba amewezesha kupatikana kwa trekta la kuhonga kiongozi wa cdm .
 

Aliiba malipo ya fidia ya vijiji ambapo nguzo za grid ya umeme ya taifa inapita

Mkuu kwenye issue ya Fidia ya Tanesco kwa wananchi wa Igunga hawezi vuka kihunzi,tayari watumishi wa halmashauri wameanza kusimamishwa,Mpima ardhi pamoja na cashier,Bw.Kingu ndo alikuwa mwenyekiti wa kamati

kuna tetesi kwamba amewezesha kupatikana kwa trekta la kuhonga kiongozi wa cdm .
fitna tu hizo hata kama hatuipendi ccm,dogo ni kiongozi sina wasiwasi nae
simjui vizuri sana ila mara ya kwanza tulikutana bungeni wakati anagombea MP eac,then akiwa DC wa kisarawe anaonyesha ni kijana mwenye vision nzuri
 
fitna tu hizo hata kama hatuipendi ccm,dogo ni kiongozi sina wasiwasi nae
simjui vizuri sana ila mara ya kwanza tulikutana bungeni wakati anagombea MP eac,then akiwa DC wa kisarawe anaonyesha ni kijana mwenye vision nzuri

Kumbe wewe ulikutana naye bungeni juzi? sisi tumesoma naye tumeishi naye. Sasa wewe utakuwa Obama wa Uongo siyo Bongo
 
fitna tu hizo hata kama hatuipendi ccm,dogo ni kiongozi sina wasiwasi nae
simjui vizuri sana ila mara ya kwanza tulikutana bungeni wakati anagombea MP eac,then akiwa DC wa kisarawe anaonyesha ni kijana mwenye vision nzuri

ukweli utajulikana soon
 
huu utaalam wa propaganda umemtokea lema bungeni leo, ametumia muda mwiiingi kumchafua ole medeye tangu akiwa waziri kumbe ni baada ya kugundua kuwa medeye anagombea ubunge arusha mjini mwakani...haya mleta mada unagombea jimbo moja na kingu???
 
Kumbe wewe ulikutana naye bungeni juzi? sisi tumesoma naye tumeishi naye. Sasa wewe utakuwa Obama wa Uongo siyo Bongo

Huyu Hajuhi Kitu. Naweza Kusema nilimtoa kwa Mkono wangu Mwenyewe kwa Kuvunja na Kufunga Ofisi yaSerekali ya wana Chuo Mzumbe(Pale mbele ya White house). Nakumbuka alikuwa Spika wa Bunge, na Tuliunda serekali nyingine mpya Kabisa.
 
kingu ni ngumi jiwe anawakimbiza ndio mana mnamtungia uongo

Hhaa! Ngumi Labda akapige Polisi wa JK lakini sio kwa watu wanaojitambua. Jeuri najua mmnampa baada ya Kupiga Polisi kipindi kile na kamakama chama cha majambazi mulimkingia Kifua.
 
Hhaa! Ngumi Labda akapige Polisi wa JK lakini sio kwa watu wanaojitambua. Jeuri najua mmnampa baada ya Kupiga Polisi kipindi kile na kamakama chama cha majambazi mulimkingia Kifua.
ngumi jiwe za kiutendaji sio hizo za akili ndogo kama za kwako
 
huu utaalam wa propaganda umemtokea lema bungeni leo, ametumia muda mwiiingi kumchafua ole medeye tangu akiwa waziri kumbe ni baada ya kugundua kuwa medeye anagombea ubunge arusha mjini mwakani...haya mleta mada unagombea jimbo moja na kingu???

Wewe kweli nazi, ubunge kwako ndo kila kitu
 
Wajinga kukesha kumzungumzia maisha ya mtu na kumchulia mabaya, welevu kukesha wakifikiri jinsi gani ya kuleta maendeleo!

Hamna jipya nyie Kingu ni miongoni mwa MaDC bora katika kizazi Hiki kipya! Kingu ni kweli ngumi jiwe chapa kazi usirudi nyuma! Tena Kwa taarifa yako Kingu anafaa kabisa kuwa RC.

Songela sana Kingu chapa kazi hizi kelele za chura!
 
Kingu ni zaidi ya DC kwa hakika mnyonge mnyongeni lakini haki yake mpeni! Kingu anafaa kuwa hata RC ameonesha uwezo mkubwa katika kipindi kifupi!

Hivi vijana tumerogwa na nani? Hata wewe mkeo anakulalamika hakuna mkamilifu! Tuwe na tabia ya kupongezeana wenyewe kwa wenyewe!

Wivu wa kike midomo mirefu!
 
Kingu wee ni kijana bora sana! Wana Igunga wanakupenda na watazidi kukupenda!

Kingu chapa kazi bro!
 
kingu ni kichwa, zalendo wa kweli, mtendaji smart, kijana mwenye upeo mkubwa na msomi asiyeabudu miungu watu....utamchafua kwa uongo na uzushi unadhani utafanikiwa??? mleta mada anaonekana ni mtumishi mzembe katika wilaya ya kingu sasa ameamua kuja kumchafua huku
 
Kingu atahesabiwa kwa maendeleo ya wilaya ya igunga, atahesabiwa kwa uadilifu sio kwa majungu ya jf
 
Weka ushahidi, ikiwemo vielelezo sio unabweka kama mbwa aliyezaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…