Kanyafu Nkanwa
JF-Expert Member
- Jul 8, 2010
- 849
- 103
Humu Jf, kuna mbumbumbu kibao. Subirini tuwaelimishe~
Kabla ya kuteuliwa, nafasi yoyote ni lazima mteuke aulizwe. Huwezi kumteua mtu kama mtuhumiwa. Ni lazima upate ridhaa yake. na Rais anapoteua huwa anaangalia na pia kumshirikisha mkuu wa mkoa kuhusu uteuzi wa wakuu wa wilaya. Kwani hao ndiyo RC atakuwa akifanya kazi nao.
Kabla ya kuteuliwa, nafasi yoyote ni lazima mteuke aulizwe. Huwezi kumteua mtu kama mtuhumiwa. Ni lazima upate ridhaa yake. na Rais anapoteua huwa anaangalia na pia kumshirikisha mkuu wa mkoa kuhusu uteuzi wa wakuu wa wilaya. Kwani hao ndiyo RC atakuwa akifanya kazi nao.