Job K
JF-Expert Member
- Oct 4, 2010
- 9,314
- 7,165
Huyo hana mashauzi wala nini. Kasoma Minaki A level na UDSM Bcom. Nampendea kitu kimoja tu kuwa huongea kwa uhuru na ni mjenga hoja mzuri sana. Ingekuwa inawezekana angekuwa President mzuri.
Napendekeza Jf mtutafutie Apps ambayo itakuwa inatupiga picha tunapoandika comments kwenye jamvi, maana naona Mh. Silinde amecharuka kujipigia promo hapa jamvini!!! Aha ha ha ha ha ha!! Ila ukweli vijana wa upinzani wako vizuri kuliko matoyoyo ya ccm! BIG UP SILINDE!