Alexander Lukashenko
JF-Expert Member
- Sep 9, 2017
- 4,301
- 10,073
Wanatuita wazee wa Ungwini ungwini😂😂😂Hahaha,na sisi tuliosoma arts?
Maisha hayaeleweki asee....
Unaona sifa kusoma Science & Eng...
Ukifika kazini, HR anakuwa juu yako tena.
Wanatuita wazee wa Ungwini ungwini😂😂😂Hahaha,na sisi tuliosoma arts?
you made it! nimechekaKuku wamefeli wap mkuu ??
hahahahaKuku wamefeli wap mkuu ??
Mkuu ukaamua uchimbe,ukafyata mkia mbele ya projectile motion 😂😂,ila Advanced Physics shikamooNecta yetu tulikutana na swali moja lipo kwenye kitini chake la Projectile motion ila nililikimbia maana sio mchezoooMgote sio wa kusoma mara 100 usome chandy...
Hilo jina la ungwin kitambo sana mkuuWanatuita wazee wa Ungwini ungwini😂😂😂
Maisha hayaeleweki asee....
Unaona sifa kusoma Science & Eng...
Ukifika kazini, HR anakuwa juu yako tena.
😂😂Hilo jina la ungwin kitambo sana mkuu
NdioKwa hiyo na wewe ni mkaririji?
We umefanya nini remarkable kwenye iyo physics uliyoelewa au unakuja tu kwenye jukwaa kulalama?Yeah, elimu yetu pia tunatakiwa tuishape iende hivi..
Tukiendelea na hii system ya kukaririshana, tutaendelewa kutawaliwa na wazungu na wachina milele daima
Lini mkuu?Nilisikia huyo jamaa nae karudisha namba