Mgomo wa wafanyabiashara trh 05/03/2015

Mgomo wa wafanyabiashara trh 05/03/2015

MLIPAKODI

JF-Expert Member
Joined
Dec 11, 2012
Posts
234
Reaction score
90
Wafanyabiasha wanamgomo nchi nzima leo, kushinikiza mwenyekiti wao bwana minja ambaye anapandishwa mahakamani dodoma Leo. Kwa upande wa mbeya maduka yamefungwa sijajua mikoa mingine. My take; serikali haioni umuhimu wa kutatua tatizo hili haraka ili isiendelee kuingia hasara Wafanyabiasha wakifunga biashara zao? Nawakilisha
 
Ni wafanyabiashara wa level gani? Huku kwetu Mbagala- Chamazi huduma ni kama kawaida. Tayari nina Mkate na Siagi kutoka dukani kwa Mangi.
 
Wafanyabiasha wanamgomo nchi nzima leo, kushinikiza mwenyekiti wao bwana minja ambaye anapandishwa mahakamani dodoma Leo. Kwa upande wa mbeya maduka yamefungwa sijajua mikoa mingine. My take; serikali haioni umuhimu wa kutatua tatizo hili haraka ili isiendelee kuingia hasara Wafanyabiasha wakifunga biashara zao? Nawakilisha

Sisi ndiyo serikali buana, hii nchi ni yetu sisi viongozi nyie wananchi ni manamba na vibaraka wetu tu. Mtatufanyia kazi milele na milele.
BTW sisi kama serikali huwa tunatatua matatizo hayo kwa njia rahisi TU.
Huyo Minja mtamkuta msitu wa Tembo
 
wafanyabiasha wanamgomo nchi nzima leo, kushinikiza mwenyekiti wao bwana minja ambaye anapandishwa mahakamani dodoma leo. Kwa upande wa mbeya maduka yamefungwa sijajua mikoa mingine. My take; serikali haioni umuhimu wa kutatua tatizo hili haraka ili isiendelee kuingia hasara wafanyabiasha wakifunga biashara zao? Nawakilisha

niko dukani mbeya saa hii maduka yepi yaliyofungwa?
 
Nipo kariakoo mda huu.....asilimia 90 ya maduka makubwa yamefungwa hapa mtaa wa kongo.
 
Manzese wamefunga ila wauza majeneza wanefungua
 
Nipo songea maduka yote ya mjini yamefungwa...
 
Nipo kariakoo karibu na stadi ya magari yanayoenda ubongo maduka yote ya vipondozi yamefunguriwa.
 
KIGOMA na Zanzibar vipi yamefungwa? Mtwara na kagera je? Tupeni taarifa. Kule kwetu songea nasikia yamefungwa leo ila wauza nyanya na ndizi wapo kazini
 
KIGOMA na Zanzibar vipi yamefungwa? Mtwara na kagera je? Tupeni taarifa. Kule kwetu songea nasikia yamefungwa leo ila wauza nyanya na ndizi wapo kazini

KILIMANJARO Kwa mwenyekiti wenu wa CHADEMA taifa FREEMABN MBOWE ambaye ndie master mind wa huo mgomo maduka yako wazi wachaga wanaendelea kuuza kama kawaida mtajijua vikabila vingine mnao mshabikia huyo mchaga anayeitwa MINJA.
 
Watu wabaguzi kama ninyi wengi nimitoto ya majambazi haijui watoto wa maskini wana shda gani,umewahi kujiuliza mabilioni ya kodi za wafanyabiashara yanakwenda wapi?? Umewahi kujiuliza kwnin waja wazito wanalala chn hospital hasa kipnd hiki wakat enz za nyrere ushenzi kama huo haukupo??barabara,zahanati na ,mashule pesa zote znatoka kw wahisani, je umewahi kujiuliza kodi za wafanyabiashara znafanya nini?? Kama akili zipo majibu unayo!!watu wanalipa kodi san
Pale bandarini mzigo ukifka toka nje unachajiwa almost 45 pacent kodi and other charges,sasa hv wamedai walipe hundred pacent of the cago value!!! Wamejiajiri wala serkar haijachangia anything kuboresha their strugle sana sana kuwangamiza.
Hivi utajiri wa dhahabu na almas hauwez kua chanzo cha mapato ya nchi hii,??
Vipi utaliii hauwezi kua chanzo cha mapato nchi hii??
Kwanini resource hiz hata siku moja serkar haijutapa mchanganuo,mfano tan ngap za gold every month zmechangia pato la taifa!!
Kwanini vianzo vya mana vya mapato havileti tija kwa taifa???
 
Back
Top Bottom