Mgomo wa wafanyabiashara trh 05/03/2015

Mgomo wa wafanyabiashara trh 05/03/2015

sisi hatujauona uko upande gani huo mgomo.
 
Watu wabaguzi kama ninyi wengi nimitoto ya majambazi haijui watoto wa maskini wana shda gani,umewahi kujiuliza mabilioni ya kodi za wafanyabiashara yanakwenda wapi?? Umewahi kujiuliza kwnin waja wazito wanalala chn hospital hasa kipnd hiki wakat enz za nyrere ushenzi kama huo haukupo??barabara,zahanati na ,mashule pesa zote znatoka kw wahisani, je umewahi kujiuliza kodi za wafanyabiashara znafanya nini?? Kama akili zipo majibu unayo!!watu wanalipa kodi san
Pale bandarini mzigo ukifka toka nje unachajiwa almost 45 pacent kodi and other charges,sasa hv wamedai walipe hundred pacent of the cago value!!! Wamejiajiri wala serkar haijachangia anything kuboresha their strugle sana sana kuwangamiza.
Hivi utajiri wa dhahabu na almas hauwez kua chanzo cha mapato ya nchi hii,??
Vipi utaliii hauwezi kua chanzo cha mapato nchi hii??
Kwanini resource hiz hata siku moja serkar haijutapa mchanganuo,mfano tan ngap za gold every month zmechangia pato la taifa!!
Kwanini vianzo vya mana vya mapato havileti tija kwa taifa???

Hapa umejazwa na hasira tu ila huna unachojua.
 
Watu wabaguzi kama ninyi wengi nimitoto ya majambazi haijui watoto wa maskini wana shda gani,umewahi kujiuliza mabilioni ya kodi za wafanyabiashara yanakwenda wapi?? Umewahi kujiuliza kwnin waja wazito wanalala chn hospital hasa kipnd hiki wakat enz za nyrere ushenzi kama huo haukupo??barabara,zahanati na ,mashule pesa zote znatoka kw wahisani, je umewahi kujiuliza kodi za wafanyabiashara znafanya nini?? Kama akili zipo majibu unayo!!watu wanalipa kodi san
Pale bandarini mzigo ukifka toka nje unachajiwa almost 45 pacent kodi and other charges,sasa hv wamedai walipe hundred pacent of the cago value!!! Wamejiajiri wala serkar haijachangia anything kuboresha their strugle sana sana kuwangamiza.
Hivi utajiri wa dhahabu na almas hauwez kua chanzo cha mapato ya nchi hii,??
Vipi utaliii hauwezi kua chanzo cha mapato nchi hii??
Kwanini resource hiz hata siku moja serkar haijutapa mchanganuo,mfano tan ngap za gold every month zmechangia pato la taifa!!
Kwanini vianzo vya mana vya mapato havileti tija kwa taifa???

Hapo umenena nakuunga mkono asilimia MIA. Serikali iache unyanyasaji kama huu. Angalia siku kama ya Leo taifa linaingia hasara kubwa sna
 
Mlipakodi tupo pamoja,hao wajinga tutapambana nao kwa hoja mkuuu!!!asante kw angalizo
 
Serikali imesahau kama uchaguzi Mkuu umefika , inawakorofisha wapiga kura
 
Hiv udhalimu huu kwa minja anaye tetea wafanya biashara wazawa utaisha lin ?Ccm hamponi endeleen ,na huo.ufedhuli mtaona...vijana wetu.pale kariakoo na kwinginepo mnawapangia kulipa kodi mpaka wafunge biashara....ila wachina kisa wanafadhili ccm no tax .
 
Minjaa kwanza biashara badae....tuone mtaiba nin ,leo mmepoteza kodi za kushibisha matumbo yenu ccm....
 
Watu wabaguzi kama ninyi wengi nimitoto ya majambazi haijui watoto wa maskini wana shda gani,umewahi kujiuliza mabilioni ya kodi za wafanyabiashara yanakwenda wapi?? Umewahi kujiuliza kwnin waja wazito wanalala chn hospital hasa kipnd hiki wakat enz za nyrere ushenzi kama huo haukupo??barabara,zahanati na ,mashule pesa zote znatoka kw wahisani, je umewahi kujiuliza kodi za wafanyabiashara znafanya nini?? Kama akili zipo majibu unayo!!watu wanalipa kodi san
Pale bandarini mzigo ukifka toka nje unachajiwa almost 45 pacent kodi and other charges,sasa hv wamedai walipe hundred pacent of the cago value!!! Wamejiajiri wala serkar haijachangia anything kuboresha their strugle sana sana kuwangamiza.
Hivi utajiri wa dhahabu na almas hauwez kua chanzo cha mapato ya nchi hii,??
Vipi utaliii hauwezi kua chanzo cha mapato nchi hii??
Kwanini resource hiz hata siku moja serkar haijutapa mchanganuo,mfano tan ngap za gold every month zmechangia pato la taifa!!
Kwanini vianzo vya mana vya mapato havileti tija kwa taifa???

Hayo mabilioni ya kodi za wafanyibiasha yako wapi? Wafanyabiashara gani unaowazungumzia? hawa wakwepaji wakubwa wa kulipa kodi? Safari hii hawana kwa kukwepea wanatakiwa kulipa kodi, hawataki wafunge maduka hata mwezi mzima bidhaa zao zidode ndani mwenye nia ya kufanya biashara watafungua.
 
Watu wa type hii,nimewajibu kweny first mchango...wewe upo kwny kundi lile,,,hakuna kitu kibaya kwny politics kama kuwapa watu uongoz ambao hawajui ,what is on the ground phyzcaly,,,kiongoz anatakiwa awe yule anajua last consmer anapata shda gani
Sasa niny ambao hamjui shda mnabwabwaja tu... nchi yyt yenye maendeleo huwawekea mazingra rafk ya wafanyabiashara...nitajieni conducive environment ambayo gvnment hii imeweka kw wafanyabiashara!! Weka mazngra rafk kw wafanyabiashara ndy ukusanye kodi ya marhani
!!!
 
Hayo mabilioni ya kodi za wafanyibiasha yako wapi? Wafanyabiashara gani unaowazungumzia? hawa wakwepaji wakubwa wa kulipa kodi? Safari hii hawana kwa kukwepea wanatakiwa kulipa kodi, hawataki wafunge maduka hata mwezi mzima bidhaa zao zidode ndani mwenye nia ya kufanya biashara watafungua.

Mkuu umenena
 
Tusipolipa kodi nchi itaenda tu na mafisadi watakuwa hawana cha kuiba
 
Watu wa type hii,nimewajibu kweny first mchango...wewe upo kwny kundi lile,,,hakuna kitu kibaya kwny politics kama kuwapa watu uongoz ambao hawajui ,what is on the ground phyzcaly,,,kiongoz anatakiwa awe yule anajua last consmer anapata shda gani
Sasa niny ambao hamjui shda mnabwabwaja tu... nchi yyt yenye maendeleo huwawekea mazingra rafk ya wafanyabiashara...nitajieni conducive environment ambayo gvnment hii imeweka kw wafanyabiashara!! Weka mazngra rafk kw wafanyabiashara ndy ukusanye kodi ya marhani
!!!

Biashara inaenda na 'demand' - Wajasilia mali 'gamblers' wakiona demand wata-take advantage na kujaza mafasi, wakwepa kodi si wa kuchekewa. mimi mfanyakazi ninalipa kodi kwa lazima na nikinunua bidhaa nalipishwa kodi na wakwepa kodi, mazingira gani rafiki yanatakiwa ktk kulipa kodi?

Elimu inatolewa kabla ya kuanza biashara. Hujakata leseni unaambiwa ni lazima kulipa kodi hutaki usifungue biashara. hupati leseni bila kusajiliwa na TRA Unataka Serikali iwalambe miguu wakwepakodi? walipe watapewa nishani sio wakwepe na wadai nishani.
 
Kodi hawajakataa kulipa,wap umeona wanakataaa,kama wangekua hawalip kodi wangepata wapi environment ya biashara??ivi umefuatilia madai yao??soma uzi vizuri kifa urongo ili ufe ukweli
 
Back
Top Bottom