Julido
Member
- Oct 30, 2013
- 83
- 21
Wakuu nimepita viunga vya mji wa sumbawanga mida hii mgomo unaendele na wafanyabiashara wote wamefunga sehem zao za biashara.
Kuanzia muuza vocha, mwenyewe kibanda cha mpesa/tigo pesa/groceries /mama ntilie hadi maduka makubwa hakuna huduma.
Kuna kundi linapita kila mtaa na kuwaamuru wale waliofungua sehem zao zao za biashara zifungwe ili kuunga mkono mgomo!!
Nadhan ipo haja kwa TRA kutoa elimu zaid kwa wafanyabiashara! !
Kuanzia muuza vocha, mwenyewe kibanda cha mpesa/tigo pesa/groceries /mama ntilie hadi maduka makubwa hakuna huduma.
Kuna kundi linapita kila mtaa na kuwaamuru wale waliofungua sehem zao zao za biashara zifungwe ili kuunga mkono mgomo!!
Nadhan ipo haja kwa TRA kutoa elimu zaid kwa wafanyabiashara! !