Mgomo wa wafanyabiashara sumbawanga mjini

Mgomo wa wafanyabiashara sumbawanga mjini

engmtolera na Zitto...hahahahaa.

Bigirita
ucjari mtu wangu,kiukweli mie huziamini sana information anazozitoa Mh Zitto,kwani anahusika ktk PAC na anachokitoa anauhakika nacho
sasa kwa sie wapenda ukweli hatuwezi kuacha kutumia information anazoziweka kwani ni kwa maendeleo ya nchi hii.
 
Hawa wafanyabiashara naweza kuwaita wapuuzi!! Haiwezekani wewe ufanye biashara bila kulipa kodi! Mfanyakazi analipa kodi bila kukosa, tena naambiwa sisi Watanzania ndio tunalipa kodi kubwa zaidi East Africa

(Soma Hapa TANZANIAN EMPLOYEES 'THE MOST HIGHLY TAXED IN EAC' )

hii ni kwasababu mzigo wa kulipa kodi wameachiwa wafanyakazi tena kwa kiwango kikubwa wa sekta binafsi.

Wafanyabiashara wanatoza kodi ya VAT 18%, baada ya hapo wanapeleka wapi? Matumboni mwao, halafu wanapita wakitukana wafanyakazi kuwa wajinga kwanini wasijiajiri!!

Hapa hata kama serikali ni dhaifu vipi, kwa hili nawaunga mkono, lazima kodi ilipwe na kila mwananchi mjenga nchi!

nikiwa waziri utakuwa naibu wangu,wewe tunaendana kimawazo na ukiwa waziri naomba niwe naibu wako inawezekana tukafanya kazi ya kueleweka,hawa wafanyabiashara hawana huruma na serikali wala walaji,tunajifanya tunawependa sana lakini wao hawana huo upendo,kama wanadiliki kutuuzia vitu vilivyopitwa na wakati huu upendo wa kusema eti serikali inaibiwa wanautoa wapi?
 
Hawa wafanyabiashara naweza kuwaita wapuuzi!! Haiwezekani wewe ufanye biashara bila kulipa kodi! Mfanyakazi analipa kodi bila kukosa, tena naambiwa sisi Watanzania ndio tunalipa kodi kubwa zaidi East Africa

(Soma Hapa TANZANIAN EMPLOYEES 'THE MOST HIGHLY TAXED IN EAC' )

hii ni kwasababu mzigo wa kulipa kodi wameachiwa wafanyakazi tena kwa kiwango kikubwa wa sekta binafsi.

Wafanyabiashara wanatoza kodi ya VAT 18%, baada ya hapo wanapeleka wapi? Matumboni mwao, halafu wanapita wakitukana wafanyakazi kuwa wajinga kwanini wasijiajiri!!

Hapa hata kama serikali ni dhaifu vipi, kwa hili nawaunga mkono, lazima kodi ilipwe na kila mwananchi mjenga nchi!
Mi ninavyoelewa sio kwamba wafanyabiashara wamegoma kulipa kodi, bali wamegomea bei kubwa ya mashine hizo...labda kama mi ndo sielewi
 
nikiwa waziri utakuwa naibu wangu,wewe tunaendana kimawazo na ukiwa waziri naomba niwe naibu wako inawezekana tukafanya kazi ya kueleweka,hawa wafanyabiashara hawana huruma na serikali wala walaji,tunajifanya tunawependa sana lakini wao hawana huo upendo,kama wanadiliki kutuuzia vitu vilivyopitwa na wakati huu upendo wa kusema eti serikali inaibiwa wanautoa wapi?

TZ sio kama unavyoifkiria mkuu...soma na hiyo

Kutoka kwenye kipindi cha clouds fm live - PB na Gerald Hando. MWENYEKITI WA WAFANYA BIASHARA AWACHANA MAAFISA WA TRA. Anasema anaushahidi mtoto wa afisa wa TRA miaka 2 anamiliki ghorofa. Je Kama ni kweli hao maafisa wanapata hela zao kihalali, na amesema anaushahidi mfanyabiashara mmoja hulipa mil 60 kama kodi lakini hupewa risiti ya mil5.
Je Tanzania tutafika. Takukuru tusaidieni.

TANZANIA YA MWAGA MBOGA MIMI NAMWAGA UGALI

Source: CLOUDS FM POWER BREAKFAST NA GERALD HANDO
 
TZ sio kama unavyoifkiria mkuu...soma na hiyo

Kutoka kwenye kipindi cha clouds fm live - PB na Gerald Hando. MWENYEKITI WA WAFANYA BIASHARA AWACHANA MAAFISA WA TRA. Anasema anaushahidi mtoto wa afisa wa TRA miaka 2 anamiliki ghorofa. Je Kama ni kweli hao maafisa wanapata hela zao kihalali, na amesema anaushahidi mfanyabiashara mmoja hulipa mil 60 kama kodi lakini hupewa risiti ya mil5.
Je Tanzania tutafika. Takukuru tusaidieni.

TANZANIA YA MWAGA MBOGA MIMI NAMWAGA UGALI

Source: CLOUDS FM POWER BREAKFAST NA GERALD HANDO
ndio maana serikali ikaja na njia ya kupambana na hao unao waita wezi
 
Mi ninavyoelewa sio kwamba wafanyabiashara wamegoma kulipa kodi, bali wamegomea bei kubwa ya mashine hizo...labda kama mi ndo sielewi

Wamebadiri , sasa hivi wanasema hata wakipewa bure hawataki kulipa kodi. Hizo mashine wanalipia, then TRA inawarudishia kwa kuwasamehe that amount wakati wa kulipa kodi.
 
Wamebadiri , sasa hivi wanasema hata wakipewa bure hawataki kulipa kodi. Hizo mashine wanalipia, then TRA inawarudishia kwa kuwasamehe that amount wakati wa kulipa kodi.
Basi hapo wanatafuta ugomvi na serikali....na sio busara kabisa
 
Ridhiwani Kikwete, Kinje, na wengine lukuki wanauza unga....kodi wanamlipa nani? Wacha watu watunishe misuri tu.
 
Back
Top Bottom