Ndebile
JF-Expert Member
- Sep 14, 2011
- 8,246
- 12,795
Wakati ndio huu,jumatano hakuna kutoa huduma,hakuna sababu tena ya kuwategemea madaktari watetee maslahi yenu.
Mbona matatizo yenu ni makubwa mno? Nyie ndio kada pekee katika sekta ya afya ambao mnakaa karibu na mgojwa zaidi ya saa 8 kwa siku, nyie ndio mnaongoza kwa wingi katika watumishi wa afya, watumishi wanaoambukizwa kwa wingi magonjwa kama TB, ukimwi nk ni wauguzi kwasababu ya ukosefu wa vifaa vya kujikinga, lishe duni itokanayo na mishahara duni.
Kwanini ni nyie tu mnaolipia leseni ya kutoa huduma elfu hamsini, kisa eti ni sheria iliyopitishwa na bunge, sheria kandamizi na ya kinyonyaji?
Nesi wa Tanzani ana kipato gani cha kulipia leseni?
Manesi kuwa na sauti moja, hivyo vyama vyenu vya TANA, PRINMAT, nk ni wezi tu, malengo yao na perdm za vikao vinavyofanyika kwenye mahoteli makubwa, mtetezi wa muuguzi ni muuguzi mwenyewe na sio TANA.
WAKATI WA KUONYESHA MSHIKAMANO NI HUU!
Mbona matatizo yenu ni makubwa mno? Nyie ndio kada pekee katika sekta ya afya ambao mnakaa karibu na mgojwa zaidi ya saa 8 kwa siku, nyie ndio mnaongoza kwa wingi katika watumishi wa afya, watumishi wanaoambukizwa kwa wingi magonjwa kama TB, ukimwi nk ni wauguzi kwasababu ya ukosefu wa vifaa vya kujikinga, lishe duni itokanayo na mishahara duni.
Kwanini ni nyie tu mnaolipia leseni ya kutoa huduma elfu hamsini, kisa eti ni sheria iliyopitishwa na bunge, sheria kandamizi na ya kinyonyaji?
Nesi wa Tanzani ana kipato gani cha kulipia leseni?
Manesi kuwa na sauti moja, hivyo vyama vyenu vya TANA, PRINMAT, nk ni wezi tu, malengo yao na perdm za vikao vinavyofanyika kwenye mahoteli makubwa, mtetezi wa muuguzi ni muuguzi mwenyewe na sio TANA.
WAKATI WA KUONYESHA MSHIKAMANO NI HUU!