Mgombea: Tutaagiza helikopta za kupelekea wagonjwa hospitali.
Wananchi: Mheshimiwa uchaguzi uliopita ulituahidi ambulances lakini hatujaziona mpaka leo.
Mgombea: Zipo njiani, zimekwama kwenye Traffic hapo msumbiji na hili tatizo la traffic ndio limetufanya tuje na mbinu ya Helikopta.
Wananchi: sasa tumekuelewa mheshimiwa.