Mgombea wa Udiwani CDM Avamiwa

Mgombea wa Udiwani CDM Avamiwa

LENGISHO

Senior Member
Joined
Sep 15, 2017
Posts
169
Reaction score
265
Ndugu zangu huyu mnaemuona ni mgombea wa Diwani Tonni Ndewawio wa Kata ya Mfumuni Amevamiwa na Mgombea Wa CCM Kata ya Bomambuzi Juma Rahibu akiwa na vijana zaidi ya Ishirini Wamemnyanganya Simu,Wallet,Laptop na Documents Muda huu ndio natoka KCMC kweli tamaa ya Madaraka mpaka tuumizane kiasi hichi tunaelekea Wapi naumia sana.


Hawa Ali Anareport kupitia Ukurasa wake wa facebook
diwan.jpg
diwn.jpg
 
duuu alafu kuna Mtu atasimama na Kusema kwa sauti Kubwa" Hii Nchi ni nchi yenye demokrasia na amani" Let pray for our nation ,
 
hili litaishia hivi hivi na police hutawasikia wakihangaika
kisa ni wa chadema
 
Pumbv zenu CHADEMA hivi hamjui kulipiza kisasi, Kamanda mawazo aliuliwa hivi hivi. Yaani mnakera kweli
 
Back
Top Bottom