nkongu ndasu
JF-Expert Member
- Jan 19, 2013
- 22,532
- 6,628
teh teh, mkuu zanzibar inaustaarabu gani? Mbona mnaiba mpaka simu ndani ya ikulu?Chadema sehemu ya wastaharabu haiwezi shinda kamwe
teh teh, mkuu zanzibar inaustaarabu gani? Mbona mnaiba mpaka simu ndani ya ikulu?Chadema sehemu ya wastaharabu haiwezi shinda kamwe
teh teh...ni kweli mkuu, ustaarabu gani wa kuiba simu ikulu?Kuna ustarabu gani zenji wewe!;Acha zakuleta;Kama mngekua wastarabu msingemwagia wageni tindikali.Kijiji chenu hakifai kabisa hicho!;Eti nchi looo!.
Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums
akili yako imekalia UKABILA muda wote.kweli mmeishiwa sera!Nasikia watamsimamisha Elibariki Josefu Mosha...
Mbona Zanzibar kuna wamasai wengi wamehamia, kakosekana hata mmoja kugombea wka CDM ?
Katika jambo alilofanikiwa Karume ni kupiga vita UJINGA wa kijitambulisha kwa ukabila, ndio maana hadi leo wanajiita WaZanzibar. Tofauti na WaTanganyika wanajifaharisha kwa ukabila.Hivi wenyeweji wa znz ni kabila gani?
Wapemba ? Ushawahi kukisikia kilugha cha pemba wewe ?
Waunguja ? Unaijua Lugha ya waunguja wewe ?
Kwa Taarifa yako znz ni kama USA wote ni wahamiaji tena afadhali ya USA tunasema Red Indians ndio wenyeji, znz hakuna wenyeji wote wanatoka Bara Africa na wengine Asia.
Chadema sehemu ya wastaharabu haiwezi shinda kamwe
Katika jambo alilofanikiwa Karume ni kupiga vita UJINGA wa kijitambulisha kwa ukabila, ndio maana hadi leo wanajiita WaZanzibar. Tofauti na WaTanganyika wanajifaharisha kwa ukabila.
Sent from my GT-I9192 using Tapatalk
Wewe upo Zanzibar gani mkuu umesahau CDM ilishiriki uchaguzi wa jimbo la Uzini kama sikosei na kuwa mshindi wa pili huku CUF Iliambulia nafasi ya 3 mpk ikapelekea Jussa kusema jimbo hilo lina wakristo wengi.
Nasikia watamsimamisha Elibariki Josefu Mosha...