mpka sasa hatujasikia wala kuona mgombea wa cdm huku zanzibar,
juzi tulijaribu kuuliza ofsi ya chama hapa zanzibar wakasema chama hakiwezi kupoteza pesa nyingi wakati hakina mizizi,
wakasema wanajipanga kuajili vijana wa zanzibar kama njia ya kuwavutia kujiunga na chama,
kwa sasa twauliza tujue kama kutakuwa na mgombea au la, hata mie niteueni nitakuwa tayari kugombea
juzi tulijaribu kuuliza ofsi ya chama hapa zanzibar wakasema chama hakiwezi kupoteza pesa nyingi wakati hakina mizizi,
wakasema wanajipanga kuajili vijana wa zanzibar kama njia ya kuwavutia kujiunga na chama,
kwa sasa twauliza tujue kama kutakuwa na mgombea au la, hata mie niteueni nitakuwa tayari kugombea