GE2025 Mgombea Urais Zanzibar kupitia chama AAFP: Msajili afute vyama vinavyoashiria fujo

GE2025 Mgombea Urais Zanzibar kupitia chama AAFP: Msajili afute vyama vinavyoashiria fujo

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025

Mkalukungone Mwamba

JF-Expert Member
Joined
Aug 29, 2022
Posts
2,437
Reaction score
5,235
Mgombea wa Kiti cha Urais Zanzibar kupitia chama AAFP, Said Soud alisema hayo tarehe 3/09/2025 wakati anamjibu Mgombea wa Urais Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar kupitia tiketi ya Chama Cha ACT wa Wazalendo Othaman Masoud Othman anayedaiwa kutoa kauli za kichochezi na kukejeli sheria za uchaguzi wakati akizungumza na wanachama wa chama hicho baada ya kukabidhiwa fomu ya Uteuzi wa nafasi hiyo na Tume ya Uchaguzi ya Zanzibar Agosti 31, 2025.

 
Mgombea wa Kiti cha Urais Zanzibar kupitia chama AAFP, Said Soud alisema hayo tarehe 3/09/2025 wakati anamjibu Mgombea wa Urais Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar kupitia tiketi ya Chama Cha ACT wa Wazalendo Othaman Masoud Othman anayedaiwa kutoa kauli za kichochezi na kukejeli sheria za uchaguzi wakati akizungumza na wanachama wa chama hicho baada ya kukabidhiwa fomu ya Uteuzi wa nafasi hiyo na Tume ya Uchaguzi ya Zanzibar Agosti 31, 2025.

Inabidi tuanze na wewe ambae unataka wenzio wafutwe lengo lako ubaki peke yako ili ishinde eti tunaijua iyoo
 
Back
Top Bottom