GE2025 Mgombea urais NCCR, Dkt. Munisi: Amani ya taifa letu ni dhamana yetu sisi wenyewe usisubiri askari aje kwaajili ya amani

GE2025 Mgombea urais NCCR, Dkt. Munisi: Amani ya taifa letu ni dhamana yetu sisi wenyewe usisubiri askari aje kwaajili ya amani

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025

Mkalukungone Mwamba

JF-Expert Member
Joined
Aug 29, 2022
Posts
2,436
Reaction score
5,234
Mgombea mwenza wa nafasi ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama cha NCCR Mageuzi Dkt. Eveline Munisi amesema usalama katika nchii utaimarika sana na ataweka mazingira mazuri kwa watumishi wa umma katika kipindi ambacho ataingia madarakani pindi wananchi watakapo mpa kura za kutosha mgombea Urais wa chama hicho

Aidha katika hatua nyengine amewaomba wananchi wadumishe amani ndani ya Nchi yao izidi kuwa nzuri kwakua wapo wanaoitafuta hio amani hawaipati katika Nchi zao na wanakimbilia katika Nchi ya Tanzania “Amani ya taifa letu ni dhamana yetu sisi wenyewe usisubiri askari aje kwaajili ya amani yako,usisubiri wakubwa viongozi wenye mamlaka watoke kwaajili ya amani yako”amesisitiza Dkt.Munisi

 
Back
Top Bottom