Mgombea wa Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama cha Alliance for Democratic Change (ADC), Wilson Elias Mulumbe, amesema iwapo atachaguliwa kuwa Rais, Serikali yake itatoa bure huduma zote za kijamii ikiwemo afya, kuunganisha umeme, maji na elimu kuanzia ngazi ya awali
Ameyasema hayo leo, Agosti 14, 2025, baada ya kuchukua fomu za uteuzi wa kugombea urais akiwa ameambatana na mgombea wake mwenza, Shoka Khamis Juma, katika Ofisi za Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC) Njedengwa, jijini Dodoma
Chama hicho, baada ya kuchukua fomu hizo, kimefikisha idadi ya vyama 15 ambavyo wagombea wake wameshachukua fomu
Ameyasema hayo leo, Agosti 14, 2025, baada ya kuchukua fomu za uteuzi wa kugombea urais akiwa ameambatana na mgombea wake mwenza, Shoka Khamis Juma, katika Ofisi za Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC) Njedengwa, jijini Dodoma
Chama hicho, baada ya kuchukua fomu hizo, kimefikisha idadi ya vyama 15 ambavyo wagombea wake wameshachukua fomu