GE2025 Mgombea Urais ADA- TADEA: Tunataka Jeshi imara na silaha imara, kila Mkoa Polisi wapewe Helikopta

GE2025 Mgombea Urais ADA- TADEA: Tunataka Jeshi imara na silaha imara, kila Mkoa Polisi wapewe Helikopta

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025

Richer

JF-Expert Member
Joined
Jun 9, 2025
Posts
1,446
Reaction score
2,093
Mgombea wa Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama cha African Democratic Alliance (ADA - TADEA), Georges Bussungu amenadi sera za chama hicho kwa wakazi mkoa wa Tabora, akiahidi kuimarisha ulinzi na usalama wa nchi na kudhibiti matukio ya uhalifu ikiwemo utekaji kwa kununua helikopta maalim kwa Polisi(attack helicopter) kila mkoa zitakazotumika kukabiliana na uhalifu

Bussungu amesema hayo Oktoba 13, 2025 katika, Kata ya Chem Chem, Manispaa ya Tabora akisema kuwa helikopta hizo zitawasaidia Polisi kufika kwa haraka sehemu za matukio kudhibiti uhalifu na hata wale wanaofanya uhalifu na kukimbia wataweza kudhibitiwa kwa kutumia chombo hicho ambacho kitakabidhiwa kwa Kamanda wa Polisi(RPC) mikoa yote nchini

"Tunataka Polisi kila mkoa wawe na helikopta, jambazi likitoloka helikopta inaruka, nia yetu ni kwamba hii mambo ya kutekwa sijui kuuwawa hatutaki kusikia sisi, hatutaki kusikia mtu kapotea " Bussungu amesema

Aidha, katika kuwaboreshea mazingira rafiki kwa wafugaji, amesema serikali yake itaruhusu mifugo kuchungwa kwenye maeneo ya hifadhi za ili kuwaepushia usumbufu wa kuhama hama kutafuta malisho


 
Mgombea wa Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama cha African Democratic Alliance (ADA - TADEA), Georges Bussungu amenadi sera za chama hicho kwa wakazi mkoa wa Tabora, akiahidi kuimarisha ulinzi na usalama wa nchi na kudhibiti matukio ya uhalifu ikiwemo utekaji kwa kununua helikopta maalim kwa Polisi(attack helicopter) kila mkoa zitakazotumika kukabiliana na uhalifu.

Bussungu amesema hayo Oktoba 13, 2025 katika, Kata ya Chem Chem, Manispaa ya Tabora akisema kuwa helikopta hizo zitawasaidia Polisi kufika kwa haraka sehemu za matukio kudhibiti uhalifu na hata wale wanaofanya uhalifu na kukimbia wataweza kudhibitiwa kwa kutumia chombo hicho ambacho kitakabidhiwa kwa Kamanda wa Polisi(RPC) mikoa yote nchini.

"Tunataka Polisi kila mkoa wawe na helikopta, jambazi likitoloka helikopta inaruka, nia yetu ni kwamba hii mambo ya kutekwa sijui kuuwawa hatutaki kusikia sisi, hatutaki kusikia mtu kapotea " Bussungu amesema.

Aidha, katika kuwaboreshea mazingira rafiki kwa wafugaji, amesema serikali yake itaruhusu mifugo kuchungwa kwenye maeneo ya hifadhi za ili kuwaepushia usumbufu wa kuhama hama kutafuta malisho.
 
Maelekezo Maalum kuhusu tarehe 29 Oktoba.

Siku hiyo kazi ni rahisi sana

Viongozi wa CCM tunaishi nao mitaani; Nyumba zao zipo mitaani kwetu, mali zao zipo mitaani kwetu.

Ofisi za CCM zipo mitaani kwetu. Ofisi za Umma nazo zipo mitaani kwetu

VItuo vya kupigia kura vipo mitaani kwetu

Mawaziri, Wabunge na Madiwani tunaishi nao mitaani kwetu, familia zao na ndugu zao tunaishi nao mitaani kwetu. Machawa na mali zao tunaishi nao mitaani kwetu.

Ndugu watanzania, mafuta ya taa, petroli na viberiti havijawahi kuwa adimu.

Tukafanye kazi iliyotukuka hiyo Oktoba 29 hadi hawa Mafisadi watuheshimu na wakome kutuchezea na kutuua.

Share na mwenzako
 
Back
Top Bottom