GE2025 Mgombea Urais ADA TADEA ampongeza Dkt. Mwinyi, asema anastahili kuendelea kuongoza Zanzibar

GE2025 Mgombea Urais ADA TADEA ampongeza Dkt. Mwinyi, asema anastahili kuendelea kuongoza Zanzibar

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025

Mkalukungone Mwamba

JF-Expert Member
Joined
Aug 29, 2022
Posts
2,437
Reaction score
5,235
Mgombea wa Urais wa Zanzibar kupitia Chama cha ADA TADEA, Juma Ali Khatib amesema Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dkt. Hussein Mwinyi amefanya mambo kubwa hivyo anafaa kuendelee kuiongoza Zanzibar.

 
IMG_7972.jpeg
 
Back
Top Bottom