Just Pray
JF-Expert Member
- Nov 7, 2023
- 2,142
- 4,779
Mgombea urais kupitia Chama cha ADA TADEA, George Bussungu, amesema iwapo atachaguliwa, serikali yake itajenga mji maalum wa teknolojia unaoitwa Bongo Technological City, ambapo vijana wenye vipaji kutoka mikoa yote watapelekwa kwenda kuvumbua na kuendeleza miradi mbalimbali ya kiteknolojia.
Akizungumza na wananchi wa Manispaa ya Singida kwenye stendi ya zamani, Bussungu amesema:
“Mkitupa ridhaa tutajenga mji maalum wa teknolojia ambao tutauita Bongo Technological City, watoto wote vijana wote wenye bongo wenye akili nyingi watakuwa wanabebwa na kupelekwa kule wakavumbue mambo,” amesema.
Akizungumza na wananchi wa Manispaa ya Singida kwenye stendi ya zamani, Bussungu amesema:
“Mkitupa ridhaa tutajenga mji maalum wa teknolojia ambao tutauita Bongo Technological City, watoto wote vijana wote wenye bongo wenye akili nyingi watakuwa wanabebwa na kupelekwa kule wakavumbue mambo,” amesema.