Mgombea urais 2015 atinga Vatican

Mgombea urais 2015 atinga Vatican

ni member wa namupa seminary,.....mh B.k.membe
 
Tutamchagua mtu kwa sifa zake na wala siyo kwa imani yake au kama anaungwa mkono na kanisa, msikiti au mbuyu.
 
Membe hafai kabisa raisi hapa ni pinda tuu wengine wasindikize tuu
 
Nilijua tu source ya habari kabla hata kabla sijamaliza kuisoma habari husika. Pro Nywele nyeupe
 
Vatican ndio wanapiga kura?? Akili, uweredi na sifa za mtu ndizo zitampa mtu nafasi ya kuwa bosi wa nchi hii
 
Kama unaamini kuwa mtoto ni mtoto hata kama amezaliwa nje ya ndoa, hata kama hakurasimishwa, Kikwete na Membe ni ndugu wa damu.

Mkuu umeniacha hoi hao wamoja?
 
Membe bwana, hivi kuna nini Ikulu linalowafanya watu wapigane vikumbo kuingia?
 
Hivi CCM wamesha repair Diplomatic Relation kwa waliyofanya OLASIT?
 
Mimi ni Mkatoliki lakini kama CCM wakimsimamisha Membe na Upinzani wakimsimamisha Muislamu,Nipo radhi nimchague Muislamu kuliko huyu mtu!

Unamatatizo makubwa katika ubongo hatuchagui kiongozi kwa kuangalia mambo hayo
 
Back
Top Bottom