indicators za magamba zimeshaanza kujitokeza kwa baadhi ya wagombea wa nafasi ya m/kiti chadema mbeya!!
Mmoja wa wagombea anayejiita ''mzee wa upako''(john mwambigija)alikimbia kwenye mdahalo ulioandaliwa na chama ili wagombea hao waweze kujinadi lakini huyo bwana aliingia mitini. angalizo kwa wapiga kura dalili za mvua ni mawingu,''mungu hutumia matendo yamtu kuonesha tabia yake''. na zaidi ni miongoni mwa wagombea wanaodiwa kutoa ruswa.
Hivyo wakazi wa mbeya tuwe makini maana tukishindwa kuitumia hii nafasi vizuri tutajuta.. so tafakari ................chukua hatua!!!
Mmoja wa wagombea anayejiita ''mzee wa upako''(john mwambigija)alikimbia kwenye mdahalo ulioandaliwa na chama ili wagombea hao waweze kujinadi lakini huyo bwana aliingia mitini. angalizo kwa wapiga kura dalili za mvua ni mawingu,''mungu hutumia matendo yamtu kuonesha tabia yake''. na zaidi ni miongoni mwa wagombea wanaodiwa kutoa ruswa.
Hivyo wakazi wa mbeya tuwe makini maana tukishindwa kuitumia hii nafasi vizuri tutajuta.. so tafakari ................chukua hatua!!!