Mgombea udiwani wa CCM ampigia kampeni Lowassa

Mgombea udiwani wa CCM ampigia kampeni Lowassa

Puna

JF-Expert Member
Joined
Oct 9, 2013
Posts
2,770
Reaction score
4,856
Ikiwa imebaki siku moja kuhitimisha kampeni za uchaguzi mkuu mgombea udiwani kwa tiketi ya chama cha mapinduzi ccm,amewaambia wananchi wa kata ya ukonga kumchagua Lowasa kuwa rais,ubunge ni Waitara na Udiwani apewe yeye.Huku baadhi ya makada wa ccm wakijipachika uccm b wakiwa na maana wanaweza badilika wakati wowote na kumpigia kura Lowasa.Mungu ibariki Tanzania.
 
Majungu. Hamtafanikiwa hata kidogo. Baona mnatafuta mbinu za kumchafua huyo Diwani
 
Ikiwa imebaki siku moja kuhitimisha kampeni za uchaguzi mkuu mgombea udiwani kwa tiketi ya chama cha mapinduzi ccm,amewaambia wananchi wa kata ya ukonga kumchagua Lowasa kuwa rais,ubunge ni Waitara na Udiwani apewe yeye.Huku baadhi ya makada wa ccm wakijipachika uccm b wakiwa na maana wanaweza badilika wakati wowote na kumpigia kura Lowasa.Mungu ibariki Tanzania.
stori za kwenye mihogo hizi
 
sio huyo tu. Huyo ni jasili alietokea adharani, ninaamini wabunge wengi wa CCM underground movement ni CHAGUA LOWASA na NAAMINI.

KAribu nusu ya kura za LOWASA zitatoka CCM
 
nimeipenda hiyo,and am sure wako wengi watakao mchagua lowasa na ni wana chama wa CCM,makomeo mwenyewe analijua hilo na alishasema kuna watu wanauvaa uccm mchana lakini usiku ni CDM/UKAWA
 
Lowassa ana mtaji mkubwa sana wa kura, hata hizo za viongozi waandamizi wa CCM anazo za kumwaga tu. humo ndani ya chama hakuko salama.
 
Mkuu, usiunge mkono kila hoja. Nyingine zimekaa kitaahira tu

We ndio taahira ambaye huelewi dhana ya demokrasia kwako demokrasia ni kuchagua wagombea wa CCM. Kwa mtizamo huu hasi dhidi ya vyama vingine Tanzania tunasafari ndefu
 
teh,uzushi na uchochezi tu ila cdhan km itawasaidia kitu chamcngi kuweni tayal kuongozw n maguful
 
Mkuchika kaweka wazi... Urais wampe Lowassa, watu wa Lindi.. ila Ubunge anaomba yeye... anasema JK kaanzisha fujo na Lowassa ili CCM ife... wakati JK hana shida... watakao teseka ni wao.. sasa kasema Magufuli atajua mwenyewe...!! Anasema JK kalikoroga, na alimchokoza Lowassa, sasa atajua huko...!!!
 
Mafisadi hata wafanye nini mwaka huu ndiyo mwisho wao kamwe hawatoboi hapa kazi tu magufuli ndiyo mpango mzima.
 
Mkuchika kaweka wazi... Urais wampe Lowassa, watu wa Lindi.. ila Ubunge anaomba yeye... anasema JK kaanzisha fujo na Lowassa ili CCM ife... wakati JK hana shida... watakao teseka ni wao.. sasa kasema Magufuli atajua mwenyewe...!! Anasema JK kalikoroga, na alimchokoza Lowassa, sasa atajua huko...!!!
Endeleeni kupotoshana lakini moto wake mtauoni magufuli siyo mwepesi kama mnavyodhani.
 
Back
Top Bottom