Crashwise
JF-Expert Member
- Oct 23, 2007
- 22,227
- 8,760
Mgombea udiwani wa chadema kata y mtae jimbo la mlalo ametekwa leo mchana na hajulikani hayupo. Hajarudisha fomu za kugombea udiwani, familia inamtafuta na makamanda wa chadema wanamsaka. Uhuni wa ccm. Vijana wameapa watakesha nyumbani kwake na ikibidi wanatoka na mtu.