MmasaiHalisi
Senior Member
- Jan 15, 2009
- 192
- 23
Mgombea ubunge mtarajiwa kupitia chama tawala (CCM) mkoani Tabora Bwana CLEMENT NSANYAMA, ambaye in PLANNING OFFICER WIZARA YA ELIMU NA MAFUNZO, amembambikiziaa kesi kijana aitwaye October,Bwana Clement anamtuhumu Dereva huyo kumchukulia nyumba ndogo yake aliyouipangishia maeneo ya kinondoni,nyuma ya Bonga Bar uchunguzi unilofanya ni kuwa Bwana clement amewahonga police wa kituo cha Oysterbay na kumbambikizia kesi kijana huyo kuwa kamwibia Milioni Tatu,Mbunge huyo mtarajiwa ambaye anaishi Mbagala Mission Pamoja na Familia yake(mke wake ambaye ni Nurse katika Kituo cha afya Mmbagala ZAKIHEMU),pia mefikia hatua ya kumtishia maisha kijana huyo,
Jamani mnaona jinsi CCM inavyo wakumbatia watu washenzi kama huyo bwana,
Jamani mnaona jinsi CCM inavyo wakumbatia watu washenzi kama huyo bwana,