GE2025 Mgombea Ubunge Mbeya auza Samaki

GE2025 Mgombea Ubunge Mbeya auza Samaki

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025

tonicimmobility

JF-Expert Member
Joined
Jun 17, 2025
Posts
493
Reaction score
1,038
Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Mbeya ambaye pia ni mgombea wa nafasi ya ubunge Jimbo la Mbeya Mjini Mhe. Patrick Mwalunenge katika kuhamasisha makundi mbalimbali wajitokeze kwenye mkutano wa mgombea nafasi ya U-Rais kwa tiketi ya chama chao, ameonekana akiuza samaki katika soko la Soweto huku akiwasihi wafike kwenye mkutano waweze kusikiliza sera anazokwenda kunadi mgombea wao wa urais Dkt. Samia Suluhu Hassan hapo kesho Septemba 4, 2025.

Soma pia: Mwalunenge achukua fomu kugombea ubunge Mbeya Mjini


Mhe. Mwalunenge amefika sokoni hapo na kusalimiana na wafanyabiashara wanaofanya biashara katika soko hilo wakiwemo kinamama wanaouza samaki, nyanya na matunda kisha kuwaeleza faida za kuhudhuria mkutano huo.
 
Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Mbeya ambaye pia ni mgombea wa nafasi ya ubunge Jimbo la Mbeya Mjini Mhe. Patrick Mwalunenge katika kuhamasisha makundi mbalimbali wajitokeze kwenye mkutano wa mgombea nafasi ya U-Rais kwa tiketi ya chama chao, ameonekana akiuza samaki katika soko la Soweto huku akiwasihi wafike kwenye mkutano waweze kusikiliza sera anazokwenda kunadi mgombea wao wa urais Dkt. Samia Suluhu Hassan hapo kesho Septemba 4, 2025.

Soma pia: Mwalunenge achukua fomu kugombea ubunge Mbeya Mjini

View attachment 3464641

Mhe. Mwalunenge amefika sokoni hapo na kusalimiana na wafanyabiashara wanaofanya biashara katika soko hilo wakiwemo kinamama wanaouza samaki, nyanya na matunda kisha kuwaeleza faida za kuhudhuria mkutano huo.
Screenshot_20250904-083740~2.png
 
Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Mbeya ambaye pia ni mgombea wa nafasi ya ubunge Jimbo la Mbeya Mjini Mhe. Patrick Mwalunenge katika kuhamasisha makundi mbalimbali wajitokeze kwenye mkutano wa mgombea nafasi ya U-Rais kwa tiketi ya chama chao, ameonekana akiuza samaki katika soko la Soweto huku akiwasihi wafike kwenye mkutano waweze kusikiliza sera anazokwenda kunadi mgombea wao wa urais Dkt. Samia Suluhu Hassan hapo kesho Septemba 4, 2025.

Soma pia: Mwalunenge achukua fomu kugombea ubunge Mbeya Mjini

View attachment 3464641

Mhe. Mwalunenge amefika sokoni hapo na kusalimiana na wafanyabiashara wanaofanya biashara katika soko hilo wakiwemo kinamama wanaouza samaki, nyanya na matunda kisha kuwaeleza faida za kuhudhuria mkutano huo.
Ujinga wa wananchi ndio mtaji wa wanasiasa.
 
Back
Top Bottom