jembe afrika
JF-Expert Member
- Jan 15, 2014
- 7,604
- 3,753
Huyu mama samia wa ccm nimemfatilia kwa muda sasa,hivi anajua anachokifanya???masikini hana ushawishi kabisa wa kisiasa!na kila anakokwenda anapewa karatasi ya kusoma na kuelezea wakati anahutubia!kwa hali hii atakua na kumbukumbu ya matatizo ya watz kweli?ni afadhali kuliko tupoteze muda Ni heri watoe photocopy ya karatasi anayosoma tukasomee nyumbani.angalia isije siku moja akaleta list ya vitunguu nyanya carrot akidhani anaenda kumpikia mzee wake.asante kikwete kwa kuipeleka ccm kuzimu na kuizika kabisa.