Huyo Mama Ni Bonge La POPOMA. Basi Kama Anampenda Lowassa Kwanini Hakusema Tu Akatwe Yeye Na Amwachie Lowassa Apete? NIMEMDHARAU.
Huyu Mama Urojooo wa Forodhani hakuwa na any good reason what's so ever kumtaja taja Gray hair
Mkuu ana sababu za kumtaja tena za maana. Hiyo strategy yake ya kupata kura kutoka hiyo kambi ya Lowassa ambayo ina wapiga kura wengi. Endapo yatatolewa matokeo ya halali, atakayeungwa mkono na team Lowassa ndiye ataibuka mshindi ingawaje matokeo yatakayo tangazwa yanaweza kuwa vinginevyo.
Tiba
Huyu mama amewatia aibu wanawake wenzake, hata kujieleza tu ameshindwa?!
Eti anataka kufanya kaz na lowasa!! Amenikera sana huyu.......