Mgogoro mkubwa kuibuka CCM baada ya Okt 28, 2015

Mgogoro mkubwa kuibuka CCM baada ya Okt 28, 2015

izzo

JF-Expert Member
Joined
May 31, 2015
Posts
2,812
Reaction score
6,465
pamoja na chama cha mapinduzi kutumia nguvu kubwa ya kununua na kufanya Lobbying ni wazi kuwa chama kikongwe barani africa mwisho wake ni oct 28 baada ya jaji lubuva kutangaza matokeo mgogoro mkubwa utakuwa ni nani atakuwa mwenyekiti wa chama baada ya magufuli kushindwa vibaya uchaguzi wa mwaka huu kumekuwa na mazoea ya chama cha mapinduzi kuwa mwenyekiti wake ni rais wa nchi sasa ikitokea magufuli kushindwa kuwa rais je ccm wapo radhi kumwachia chama mr alinserema na bigwa wa kupiga push ups majukwaani aongoze chama ?

lipo kundi ndani ya ccm wanasema awawezi kumpa chama mtu ambae akijui chama kwani magufuli ajawah kuwa hata mjumbe wa shina la ccm inavyo onekana ndani ya chama kuna mgawanyiko wa ndani kwa ndani ambao utakuja kujitokeza baada ya oct 28 ccm kitakapo kuwa chama kikuu cha upinzani bungeni kwani magufuli mwenyewe anajua ya kuwa kuna watu ndani ya ccm mchana wanavaa kijani usiku wanafaa kombati sas tujiandae kushuhudia ngumi zikitokea mitaa ya lumumba na wengine wakiangaika na safari za kwenda mahakama ya kimataifa ICC kwa maana najua watajalibu kufanya kama alivyofanya mr gbagbo aliekuwa rais wa ivory coast ambae sasa yupo kwa fatou bensouda akisubili kunyoa
 
Hahaa,mtasema sana na mtajivika Unape mwaka huu lakini Chadema ikulu hamuwezi kuiona jiandaeni tu kisaikolojia kukubali matokeo lakini ndoto za kumshinda magufuli haiwezekani.
 
pamoja na chama cha mapinduzi kutumia nguvu kubwa ya kununua na kufanya Lobbying ni wazi kuwa chama kikongwe barani africa mwisho wake ni oct 28 baada ya jaji lubuva kutangaza matokeo mgogoro mkubwa utakuwa ni nani atakuwa mwenyekiti wa chama baada ya magufuli kushindwa vibaya uchaguzi wa mwaka huu kumekuwa na mazoea ya chama cha mapinduzi kuwa mwenyekiti wake ni rais wa nchi sasa ikitokea magufuli kushindwa kuwa rais je ccm wapo radhi kumwachia chama mr alinserema na bigwa wa kupiga push ups majukwaani aongoze chama ?

lipo kundi ndani ya ccm wanasema awawezi kumpa chama mtu ambae akijui chama kwani magufuli ajawah kuwa hata mjumbe wa shina la ccm inavyo onekana ndani ya chama kuna mgawanyiko wa ndani kwa ndani ambao utakuja kujitokeza baada ya oct 28 ccm kitakapo kuwa chama kikuu cha upinzani bungeni kwani magufuli mwenyewe anajua ya kuwa kuna watu ndani ya ccm mchana wanavaa kijani usiku wanafaa kombati sas tujiandae kushuhudia ngumi zikitokea mitaa ya lumumba na wengine wakiangaika na safari za kwenda mahakama ya kimataifa ICC kwa maana najua watajalibu kufanya kama alivyofanya mr gbagbo aliekuwa rais wa ivory coast ambae sasa yupo kwa fatou bensouda akisubili kunyoa

Kwenye siasa huwezi kuwa na uhakika kiasi hicho.

Je ni nini hatma ya Lowassa CDM endapo atashindwa kwenye uchaguzi? Ataendelea kupigania demokrasia akiwa mwanachama "active" wa CDM?

Kwa upande wa hoja yako ni kwamba uchaguzi wa viongozi wa CCM ni mwaka 2017. Maana yake ni kwamba endapo Magufuli atashindwa kupata urais, watakuwa na miaka miwili ya kutafakari na kujua la kufanya wakati wa kuchagua mwenyekiti mpya mwaka 2017!
 
Hahaa,mtasema sana na mtajivika Unape mwaka huu lakini Chadema ikulu hamuwezi kuiona jiandaeni tu kisaikolojia kukubali matokeo lakini ndoto za kumshinda magufuli haiwezekani.

hayo maneno alikuwa anapenda sana kutumia rais wa KENYA Daniel Toroitich arap Moi,so hatushangai sana mnatakiwa muanze kujiandaa sio kisaikologia tu,na kimaisha pia maana hapa hakuna tena 10% itakuwa ni ufanye kazi au uone jela
 
Baada ya tarehe 28 amini nawaambia hakuna atakae kubali kuwa mwenyekiti zaidi ya Livingstone Lusinde maana wanajua kuwa viwanja na majengo yote yatarejeshwa serikalini ... CCM watageuka machokoraa rasmi ...
 
pamoja na chama cha mapinduzi kutumia nguvu kubwa ya kununua na kufanya Lobbying ni wazi kuwa chama kikongwe barani africa mwisho wake ni oct 28 baada ya jaji lubuva kutangaza matokeo mgogoro mkubwa utakuwa ni nani atakuwa mwenyekiti wa chama baada ya magufuli kushindwa vibaya uchaguzi wa mwaka huu kumekuwa na mazoea ya chama cha mapinduzi kuwa mwenyekiti wake ni rais wa nchi sasa ikitokea magufuli kushindwa kuwa rais je ccm wapo radhi kumwachia chama mr alinserema na bigwa wa kupiga push ups majukwaani aongoze chama ?

lipo kundi ndani ya ccm wanasema awawezi kumpa chama mtu ambae akijui chama kwani magufuli ajawah kuwa hata mjumbe wa shina la ccm inavyo onekana ndani ya chama kuna mgawanyiko wa ndani kwa ndani ambao utakuja kujitokeza baada ya oct 28 ccm kitakapo kuwa chama kikuu cha upinzani bungeni kwani magufuli mwenyewe anajua ya kuwa kuna watu ndani ya ccm mchana wanavaa kijani usiku wanafaa kombati sas tujiandae kushuhudia ngumi zikitokea mitaa ya lumumba na wengine wakiangaika na safari za kwenda mahakama ya kimataifa ICC kwa maana najua watajalibu kufanya kama alivyofanya mr gbagbo aliekuwa rais wa ivory coast ambae sasa yupo kwa fatou bensouda akisubili kunyoa

Kazi ya utabiri unaanza kujifynza sio!? Utavuliwa nguo wewe! Hiyo ni shughuli ndogo tu vua nguo tukufundishe.
 
Kwenye siasa huwezi kuwa na uhakika kiasi hicho.

Je ni nini hatma ya Lowassa CDM endapo atashindwa kwenye uchaguzi? Ataendelea kupigania demokrasia akiwa mwanachama "active" wa CDM?

The guy is creating the future.
Politics is worse than prostitute my brother.....
 
pamoja na chama cha mapinduzi kutumia nguvu kubwa ya kununua na kufanya Lobbying ni wazi kuwa chama kikongwe barani africa mwisho wake ni oct 28 baada ya jaji lubuva kutangaza matokeo mgogoro mkubwa utakuwa ni nani atakuwa mwenyekiti wa chama baada ya magufuli kushindwa vibaya uchaguzi wa mwaka huu kumekuwa na mazoea ya chama cha mapinduzi kuwa mwenyekiti wake ni rais wa nchi sasa ikitokea magufuli kushindwa kuwa rais je ccm wapo radhi kumwachia chama mr alinserema na bigwa wa kupiga push ups majukwaani aongoze chama ?

lipo kundi ndani ya ccm wanasema awawezi kumpa chama mtu ambae akijui chama kwani magufuli ajawah kuwa hata mjumbe wa shina la ccm inavyo onekana ndani ya chama kuna mgawanyiko wa ndani kwa ndani ambao utakuja kujitokeza baada ya oct 28 ccm kitakapo kuwa chama kikuu cha upinzani bungeni kwani magufuli mwenyewe anajua ya kuwa kuna watu ndani ya ccm mchana wanavaa kijani usiku wanafaa kombati sas tujiandae kushuhudia ngumi zikitokea mitaa ya lumumba na wengine wakiangaika na safari za kwenda mahakama ya kimataifa ICC kwa maana najua watajalibu kufanya kama alivyofanya mr gbagbo aliekuwa rais wa ivory coast ambae sasa yupo kwa fatou bensouda akisubili kunyoa

Wewe unalaana na aliekuachia laana alichukuliwa na Tsunami ya CCM ndio kunakokufanya uandike ambacho hata Hujui nini umeandika. hayo ni ndani ya UKAWA
 
Unaota mchana wakuindoa ccm bado hajazaliwa mwenyekiti atakua rais J P MANGUFULI. HILO HALINA SHAKA.ccm imekamilika katika uongozi hawaokoti watu
 
Back
Top Bottom