Mgodi TULAWAKA kufungwa

Rock City

JF-Expert Member
Joined
Feb 11, 2012
Posts
1,266
Reaction score
505
Sasa kitendawili kimeteguka. Akiongea na wafanyakazi wake tarehe 13.02.2013 mkurugenzi mkuu wa mgodi huo akatangaza rasmi kufungwa kwa mgodi huo ifikapo June mwaka huu.

Taharuki kwa wafanyakazi na sintofahamu yao.

Source: From a reliable personnel at ABG
 
Itakuwa uzushi tu mbona juzi juzi tu nimeona matangazo yao ya kazi,tena nafasi kibao
 
Itakuwa uzushi tu mbona juzi juzi tu nimeona matangazo yao ya kazi,tena nafasi kibao

Tambua kuwa mgodi hata uwe unatarajiwa kufungwa baada ya mwezi mmoja ujao...still utakuta mabandiko ya vacancies kwenye media. Hii ni habari ya kweli isiyo na uwalakini.
 
Mgodi huu utaliachia Taifa faida gani?
 
Very possible the life of mining has reached its ens
 
hii habari ni ya kweli,
nimethibitisha kuwa mgodi huo unafungwa!
nikashangazwa kuona matangazo ya kazi bado yanatolewa!
au ndo wanataka kuwaliza watu kwakuwa wanajua panafungwa so hakutakuwa na pa kuanzia!
kuweni makini mnaofanya application za kazi huko!
 
Mgodi ukifikia mahali ambapo cost ya kuuendesha inazidi kasi ya uzalishaji inabidi ufungwe. Maandalizi ya kuufunga yalianza toka 2007 na haikuwa kwa kuficha. Kazi ya kuufunga huchukua muda mrefu kwa hiyo kuajiri upya sio neno. Ni lazna majengo yawekwe kwenye use yenye manufaa, mashimo yafukiwe na ile layer ya juu ya udongo irudishiwe na miti na nyasi zioteshwe upya. Tena mnaoomba kazi wala msitie shaka manake hapo kuna kiinua mgongo cha faraja. Ombeni tu.
Mwenye interest anaweza kutafuta document ya environmental and social impacts statement asome decommission phase. Host ni vice president. Wamemaliza kuvuna ngoja wakawanyooshe mtwara sasa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…