D Dogo chaka Member Joined Nov 19, 2024 Posts 7 Reaction score 6 Nov 23, 2024 #1 Me ni mgeni sina kamba ila wengi walikuwa wananifaham kama chaka la wakubwa jamani hii ni account yangu mpya
Me ni mgeni sina kamba ila wengi walikuwa wananifaham kama chaka la wakubwa jamani hii ni account yangu mpya
Iam back_Euphoria JF-Expert Member Joined Sep 17, 2024 Posts 356 Reaction score 1,071 Nov 23, 2024 #2 Welcome bruh
Shadow7 JF-Expert Member Joined Sep 28, 2020 Posts 33,735 Reaction score 55,383 Nov 23, 2024 #3 Karibu sana mkuu
Babu Kijiwe JF-Expert Member Joined Mar 31, 2010 Posts 4,845 Reaction score 4,775 Nov 23, 2024 #4 Karibu, weka kitambulisho chako cha NIDA na barua ya mtendaji bila kusahau sahihi ya dolegumba.
Muuza madafu wa Ikulu JF-Expert Member Joined Feb 21, 2024 Posts 1,641 Reaction score 3,751 Nov 23, 2024 #5 Dogo chaka said: Me ni mgeni sina kamba ila wengi walikuwa wananifaham kama chaka la wakubwa jamani hii ni account yangu mpya Click to expand... Si ungetumia jina lako la mtaani tu la dogo choko. Ingependeza zaidi.πππ
Dogo chaka said: Me ni mgeni sina kamba ila wengi walikuwa wananifaham kama chaka la wakubwa jamani hii ni account yangu mpya Click to expand... Si ungetumia jina lako la mtaani tu la dogo choko. Ingependeza zaidi.πππ
T Tumwesige senior JF-Expert Member Joined Jan 28, 2013 Posts 5,866 Reaction score 10,350 Nov 23, 2024 #6 Karibu mi ndo mgombea uenyekiti wa mtaa huu
D Dogo chaka Member Joined Nov 19, 2024 Posts 7 Reaction score 6 Nov 23, 2024 Thread starter #7 Muuza madafu wa Ikulu said: Si ungetumia jina lako la mtaani tu la dogo choko. Ingependeza zaidi.πππ Click to expand... Aaanh me ni mnunua madafu ikuluπ
Muuza madafu wa Ikulu said: Si ungetumia jina lako la mtaani tu la dogo choko. Ingependeza zaidi.πππ Click to expand... Aaanh me ni mnunua madafu ikuluπ
Ulimakafu JF-Expert Member Joined Mar 18, 2011 Posts 31,701 Reaction score 13,671 Nov 23, 2024 #8 Dogo chaka said: Me ni mgeni sina kamba ila wengi walikuwa wananifaham kama chaka la wakubwa jamani hii ni account yangu mpya Click to expand... Aahaaaaa.....
Dogo chaka said: Me ni mgeni sina kamba ila wengi walikuwa wananifaham kama chaka la wakubwa jamani hii ni account yangu mpya Click to expand... Aahaaaaa.....
Ulimakafu JF-Expert Member Joined Mar 18, 2011 Posts 31,701 Reaction score 13,671 Nov 23, 2024 #9 Karibu sana JF mjukuu wetu hapa kwa GT ufaidi.
Watu8 Platinum Member Joined Feb 19, 2010 Posts 76,266 Reaction score 108,257 Nov 26, 2024 #10 Karibu sana JamiiForums...