A Abibu Member Oct 24, 2011 7 1 Oct 30, 2011 #1 jamani tanesco wanakera!!!!!!!!! Mara wamesema mgao miezi 3 hakuna ,sasaivi wanakata umeme ghafla tu na kuurudisha HAWAJUI VYOMBO VYETU VINAUNGUA????? Waache hiyo tabia.
jamani tanesco wanakera!!!!!!!!! Mara wamesema mgao miezi 3 hakuna ,sasaivi wanakata umeme ghafla tu na kuurudisha HAWAJUI VYOMBO VYETU VINAUNGUA????? Waache hiyo tabia.
B Bajabiri JF-Expert Member Jan 1, 2011 9,730 1,201 Oct 30, 2011 #3 Nilileta post hapa kuwa MALIMA kathema umeishaaaa
B Bajabiri JF-Expert Member Jan 1, 2011 9,730 1,201 Oct 30, 2011 #4 wakomong'we said: Hawa hawana sera tofauti na MAGAMBA Click to expand... wanatekeleza ilan ya chama