Mgao wa umeme ni mkali sana Arusha. Serikali tumeikosea nini?

Colgate3

JF-Expert Member
Jun 13, 2020
800
1,424
Waziri Biteko huku Arusha hasa Meru, Moshi road yote kuanzia Ngulelo, Ambureni, Tengeru na kuendelea tumewakosea nini?

Jana Jumamosi katika masaa 24 tumepata umeme masaa 4 tu.

Leo tumepata masaa 7 tu na umekatwa kitambo.

Kuna tatizo gani hasa?

Arusha mjini sio salama pia japo makali yake hayafikii Meru.

Mnatuumiza mno.

Mungu awalipe sawa na MATENDO YENU
 
Imeandikwa usilaani usije kulaaniwa...nina wabariki sana Tanesco na Biteko
 
Hadi sasa Biteko kafanya nini kuboresha huduma ya upatikanaji wa umeme? Au ni siasa tu kama kawaida maana mgao wa umeme ndiyo unazidi kila kukicha.
 
Waziri Biteko huku Arusha hasa Meru, Moshi road yote kuanzia Ngulelo, Ambureni, Tengeru na kuendelea tumewakosea nini?

Jana Jumamosi katika masaa 24 tumepata umeme masaa 4 tu.

Leo tumepata masaa 7 tu na umrkatwa kitambo.

Kuna tatizo gani hasa?
Arusha mjini sio salama pia japo makali yake hayafikii Meru.

Mnatuumiza mnoo .
Mungu awalipe sawa na MATENDO YENU
Acheni kupenda na kuendekeza Anasa. Unaweza kuishi tu bila umeme. Mbona mababu zetu waliweza kuishi bila umeme na maisha yakaenda na tena walikuwa na furaha? Zingatieni kwanza vitu muhimu na lazima kama ngono na mkono kwenda kinywani.
 
Acheni kupenda na kuendekeza Anasa. Unaweza kuishi bila umeme. Mbona mababu zetu waliishi bila umeme na maisha yalienda na tena walikuwa na furaha. Zingatieni kwanza vitu muhimu na lazima kama ngono na mkono kwenda kinywani.
Hivyo muhimu tayari tunavyo sasa tunazingatia na umeme. ngono na joto la dar bila feni au ac si kutatoka moshi
 
Waziri Biteko huku Arusha hasa Meru, Moshi road yote kuanzia Ngulelo, Ambureni, Tengeru na kuendelea tumewakosea nini?

Jana Jumamosi katika masaa 24 tumepata umeme masaa 4 tu.

Leo tumepata masaa 7 tu na umrkatwa kitambo.

Kuna tatizo gani hasa?
Arusha mjini sio salama pia japo makali yake hayafikii Meru.

Mnatuumiza mnoo .
Mungu awalipe sawa na MATENDO YENU
jana walirudisha saa sita usiku wakakata tena saa tisa usiku huo huo wakarudisha saa moja asubuhi leo wamekata saa nane mchana mpaka muda huu hamna

Sent from my SM-G570F using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom