mcubic
JF-Expert Member
- Mar 3, 2011
- 10,310
- 6,548
Habari za leo wanajamii wenzangu wa jukwaa hili. Kumekuwa na mgao mkali wa umeme katika mji huu wa morogoro hivi karibuni bila mamlaka husika kutoa taarifa kuna hitilafu ama ni mgao ( nipo tayari kukosolewa). Umeme umekuwa ukikatika saa moja asubuhi na kurudi Saa 12 jioni. Kisha kukatwa tena saa nne usiku.
Wakati wa mjadala wa eskrow bungeni zilitoka taarifa kuwa kuna hitilafu zimejitokeza katika baadhi ya mitambo huko kidatu na tayari timu ya mafundi ilishapelekwa huko kushughulikia tatizo hilo. Cha ajabu tangu wakati huo mamlaka husika haijatupa mrejesho wa suala hilo ( I stand to be corrected).
Wakati umefika sasa wakazi wa moro na viunga vyake tuambiwe ukweli wa suala hili kwani kukatika katika huku kwa umeme kumekuwa kero kubwa...hali inayopekekea shughuli nyingi za kimaendeleo kutofanyika.
Wakati wa mjadala wa eskrow bungeni zilitoka taarifa kuwa kuna hitilafu zimejitokeza katika baadhi ya mitambo huko kidatu na tayari timu ya mafundi ilishapelekwa huko kushughulikia tatizo hilo. Cha ajabu tangu wakati huo mamlaka husika haijatupa mrejesho wa suala hilo ( I stand to be corrected).
Wakati umefika sasa wakazi wa moro na viunga vyake tuambiwe ukweli wa suala hili kwani kukatika katika huku kwa umeme kumekuwa kero kubwa...hali inayopekekea shughuli nyingi za kimaendeleo kutofanyika.