nashukuru mzima
JF-Expert Member
- Jul 11, 2017
- 1,014
- 1,914
Mfumo wa Tamisemi uko wazi.
Kulikoni
Kulikoni
Si ili utumike Mkuu au haujapenda?
Ila charge simu Mkuu 3% zitaisha hujapata mirejesho ya humu![]()


WABONGO MMENISHINDA TABIA
Ila si umeona hapo ndani ya dakika moja umetumia 1% Mkuu, nawaza dakika 5 zijazo itakuwaje au betri ya simu inazingua bosi 😀WABONGO MMENISHINDA TABIA
Na lisimu lenye ni tecnoSi ili utumike Mkuu au haujapenda?
Ila charge simu Mkuu 3% zitaisha hujapata mirejesho ya humu 😂
Misimu ya ajira hii boss
Kipi bora kati ya Simu na kupata taarifaYaani dakika Moja inasepa na asilimia Moja! Endelea kuchungulia kukipendeza nijulishe nitume maombi
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Kikubwa taarifa mkuu, yaani ulipoweka hapa nami nimeenda kuchungulia ingawa wamesema user account blocked. Next time ukipiga screenshot uicrop kabla ya kushea Ili baadhi ya detail zisiwepo kabisa.Kipi bora kati ya Simu na kupata taarifa
Unauhakika na unachokiongeaMfumo unafanyiwa majaribio tu akuna kitu bila bila
SinaUnauhakika na unachokiongea
DaahMfumo wa Tamisemi uko wazi.
Kulikoni

!!! Tuliza wenge hiyo account ni Kwa ajili ya kuombea ajira, sasa hivi Kuna ajira gan ambazo Tamisemi wametangaza mpaka hiyo account iwe active?Wakuu ninaswali tafadhali. Nikijaribu kuingia leo mfumo wa ajira Tamisemi nakuta account yangu blocked (user account blocked) na nilikuwa hapo muda si mrefu
1) Je ni suala la kimtandao ama nimekula pini
2) je muda umeisha wa kuomba ajira ( dirisha limefungwa)ndiyo huandika hivyo?
3) je ikiwa dirisha la maombi ya ajira limefungwa huwa unapata ujumbe gani unapoingia katika account yako ya maombi?
4) kama ni account ikafungwa je huwa wanashughulika na detail zako za maombi ya ajira ikiwa ulijaza kila kitu? 🙏🙏🙏 Nawasilisha wakuu
Sina wenge mkuu kulikuwa na hizi za kujitolea mkuu. Ndyo maana nikauliza kuwa imefungwa kwangu tuu nikimaanisha niko blocked ama ni dirisha limefungwa mkuu. Rejea swali mkuuTuliza wenge hiyo account ni Kwa ajili ya kuombea ajira, sasa hivi Kuna ajira gan ambazo Tamisemi wametangaza mpaka hiyo account iwe active?