Mfumo wa siasa Tanzania umekufa rasmi 2025 tuna mfumo wa kipolisi

Mfumo wa siasa Tanzania umekufa rasmi 2025 tuna mfumo wa kipolisi

Kamundu

Platinum Member
Joined
Nov 22, 2006
Posts
9,268
Reaction score
13,895
Mfumo wa siasa Tanzania umekufa rasmi 2025 tuna mfumo wa kipolisi. Mfumo umebaki kwenye vitabu vya sheria ambao hata haufutwi. Kama taifa tuna haya

1. Tufufue mfumo tena

2. Tuweke katiba mpya

3. Kama tunapenda mfumo huu wa Kipolisi ambao sidhani kama watanzania wana utaka basi wekeni kisheria! tattizo la sasa tunafuata mfumo ambao haupo kisheria
 
Mfumo wa siasa Tanzania umekufa rasmi 2025 tuna mfumo wa kipolisi. Mfumo umebaki kwenye vitabu vya sheria ambao hata haufutwi. Kama taifa tuna haya
1. Tufufue mfumo tena
2. Tuweke katiba mpya
3. Kama tunapenda mfumo huu wa Kipolisi ambao sidhani kama watanzania wana utaka basi wekeni kisheria! tattizo la sasa tunafuata mfumo ambao haupo kisheria

Ndiyo maana Polisi Sasa hivi wanajenga Sana Maghorofa, Kuna Inspector Mmoja CID - FORENCIC yupo Central Police Arusha ana milili ghorofa la makazi...nilijiuliza Sana huyu mwamba kapiga wapi bingo ya kujenga ghorofa la Milioni 300 kumbe mfumo Polisi unamuweka Mjini aiseee
 
Ndiyo maana Polisi Sasa hivi wanajenga Sana Maghorofa, Kuna Inspector Mmoja CID - FORENCIC yupo Central Police Arusha ana milili ghorofa la makazi...nilijiuliza Sana huyu mwamba kapiga wapi bingo ya kujenga ghorofa la Milioni 300 kumbe mfumo Polisi unamuweka Mjini aiseee
🙄
 
Mfumo wa siasa Tanzania umekufa rasmi 2025 tuna mfumo wa kipolisi. Mfumo umebaki kwenye vitabu vya sheria ambao hata haufutwi. Kama taifa tuna haya

1. Tufufue mfumo tena

2. Tuweke katiba mpya

3. Kama tunapenda mfumo huu wa Kipolisi ambao sidhani kama watanzania wana utaka basi wekeni kisheria! tattizo la sasa tunafuata mfumo ambao haupo kisheria
Umechelewa sana kutambua hili ndugu....
 
Manasema Polisi ndio wanaowaongoza waongoza nchi.
 
Policcm wenye vyeo vya juu ndiyo wanafaidi. The rest, bado wanaishi kwa kutegemea rushwa na michongo ya hapa na pale.
 
Huenda hata Ikulu inapokea maagizo kutoka Kwa Polisi..

Maana Waziri alijaribu kuwakemea na mara moja akaondolewa Uwaziri..

Maneno ya Mzee Warioba Yana Ukweli..
 
Back
Top Bottom