Habari, Taasisi ya RITA kupitia mfumo wao wa eRITA wameshindwa kutatua changamoto ya portal yao? Na wanajinasibu raia ajihudumie kupitia portal na mfumo wao haukubali kufuta baadhi ya attachment wanazotaka ubadilishe nini maana yake?
Kama Kuna utaratibu mwingine ni vyema wakatangaza kwa wananchi Kuna huduma zina stack kwasababu ya uzembe toka taasisi husika
Kama Kuna utaratibu mwingine ni vyema wakatangaza kwa wananchi Kuna huduma zina stack kwasababu ya uzembe toka taasisi husika