Mfumo wa masomo VETA

Tafadhali ni naomba kueleweshwa vizuri... Kuna mdogo wangu amemaliza level 2 katika automobile engineering na cheti cha form form alichonacho ni cha D mbili za masomo ya Sanaa... Je anawezaje kuendelea kwa chuo kama NIT upande wa ordinary diploma??
subiri wajee
 
Tafadhali ni naomba kueleweshwa vizuri... Kuna mdogo wangu amemaliza level 2 katika automobile engineering na cheti cha form form alichonacho ni cha D mbili za masomo ya Sanaa... Je anawezaje kuendelea kwa chuo kama NIT upande wa ordinary diploma??
Amesomea chuo gani au veta ipi???
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…