MFUMO WA ELIMU

MFUMO WA ELIMU

JMWAKA

JF-Expert Member
Joined
Jun 18, 2012
Posts
739
Reaction score
654
Salaam waungwana

Heri ya krismas na mwaka mpya

Nina wazo naamini humu viongozi wa kiserikali hupata muda na kupitia mawazo mbalimbali yanayoletwa humu

Mimi nina wazo kama tunataka Tanzania ya viwanda tuache sound shule zote za kata zibadilishwe ziwe za ufundi na shule za private nusu yake ziwekewe sheria ziwe za ufundi sababu elimu yetu ya madaftari haina msaada wowote kwa nchi kukariri hakusaidii watoto wafundishwe kazi hapo tutajenga nchi la sivyo tutakuwa na sera kila mwaka hazitekelezeki

Wasalaam
 
Back
Top Bottom