Mfumo una nguvu kuliko mtu

Mfumo una nguvu kuliko mtu

Mssassou

JF-Expert Member
Joined
Jun 17, 2015
Posts
1,537
Reaction score
597
Mfumo unaundwa na watu,mfumo ukikomaa huwafanya watu wale waliouunda mfumo ule kuishi kwa kadiri mfumo unavyotaka.Kuubadili mfumo huo inahitaji watu tofauti kabisa ya wale waliounda mfumo wa awali.Unaweza kutumia mawazo hayo katika mazingira yako unayoishi na kuona ukweli au ni uongo
 
Back
Top Bottom