Mfuko wa LAPF

Mfuko wa LAPF

yadoxy

Member
Joined
Sep 26, 2015
Posts
20
Reaction score
1
Hivi jamani naonbeni msaada nitapataja mkopo wa kujikimu kwa waajiriwa wapya kwani Mimi Ni mwajiriwa mpya na nimejiunga na Lapf, naombeni mawazo yenu!
 
mie nlienda makao makuu ya mkoa x eti fomu hakuna,nikapewa no# za simu,kla nikipiga simu ,majibu hazijafka mwezi wa sita sasa. Bongo ni nchi ya ajabu ,kla idara imeoza
 
Yadox hao LAPF majanga, Mimi mwenyewe nilikimbilia sasa mwezi Jana nilienda ofcn kwao Baada ya kumaliza miez 6, sababu nafanya kazi hapa dar , nikatimba makao makuu na salary slip sita, maana biliambiwa ikimaliza miezi sita ndo unapata mkopo Wa 3 times amount ya basic salary kama mkopo Wa kuanzia maisha,,,Cha kushangaza nikaambiwa hiyo haijawahi tekelezwa na bado wanatangaza hawajahi kumpa hata MTU, ni plan yao tu...nikajilaumu why sikujiunga na PSPF..kwa hiyo mkuu futa kabisaaa mawazo kwa hao jamaaa
 
Back
Top Bottom